Kuruka hatua (stage) kwenye makuzi

Kuna mtu alivukaga stage aisee..zee zima mavazi ya vijana..kulala ni vitoto(sijui ujana wake hakulala na wasize yake) mlegezo kwa sana..vipensi..dah
 
Hapa naona umechanganya vitu viwili ana vitatu na ukishindwa kutambua kipi ni kipi....
. kuruka stage
. mazoea/tabia
. hulka/tamaa ya ngono inayoambatana na pepo
 
Hapa naona umechanganya vitu viwili ana vitatu na ukishindwa kutambua kipi ni kipi....
. kuruka stage
. mazoea/tabia
. hulka/tamaa ya ngono inayoambatana na pepo
katika jamii tunayoishi mshana,vijana wanaamini moja ya vitu ambavyo vinaonyesha unautumia vizuri ujana wako,basi ni kuwa bingwa wa kubadilisha wasichana,vijana wengi wanaamini ni kama ni moja ya stegi ambayo hutakiwi kuiruka na kama ukiwa mwanamke mmoja au ukichelewa kudate au kukutana kimwili wanaamini,basi huko mbeleni lazima utakuwa mgongaji.Ndio nilichokuwa namaanisha na imejengeka hivyo na tukiendekeza haya mawazo tutakufa mapema magonjwa mengi.
 
Barikiwa sana,hauburuzwi na mwili ila unauburuza mwili,
Ndo kanuni yangu pia,ukiutumia vibaya mwili wa ujana unakaribisha uzee goi goi,
Uiendekeza anasa za ujana unazeeka ukiwa na miaka 30 tu
 
Barikiwa sana,hauburuzwi na mwili ila unauburuza mwili,
Ndo kanuni yangu pia,ukiutumia vibaya mwili wa ujana unakaribisha uzee goi goi,
Uiendekeza anasa za ujana unazeeka ukiwa na miaka 30 tu
Big up sana ndug umesomek Ile Ile
 
Mimi nkiingia jikon lazima nidokoe nyama sema sikuizi sio kma utotoni kula kwa kujificha hapana natulia tu kiuwazi, ila najiona kma mdokozi
 
Mimi nahisi kuna stage moja nimeiruka ila sina wasi najua tairudia uzeeni.
 
Mimi nkiingia jikon lazima nidokoe nyama sema sikuizi sio kma utotoni kula kwa kujificha hapana natulia tu kiuwazi, ila najiona kma mdokozi
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘ Safi sana !!
 
.
Your browser is not able to display this video.


Jr[emoji769]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…