Riskytaker
JF-Expert Member
- Mar 14, 2024
- 568
- 2,522
75% ya graduate wote wa tangu 2015+ wapo mtaani no ajira vijana wanamachungu sana
Tatantarira za CCM zinakua nyingi huku wakirundika vijana mtaani bila kazi. Zaidi watu milion moja wanaingia kwenye soko la ajira kila mwaka halafu wanaoajiriwa hata elfu 50 hawafiki. Vijana wanajazana humo UVCCM wakizani watapata favor ya ajira lakini wapi.
Miaka 10 iyayo patakua na nyomi la jobless ambao wataichomoa hi CCM madarakani.
Nchi za Ulaya pametulia kwa sababu majority ya vijana wanaajira rasmi.
Tatantarira za CCM zinakua nyingi huku wakirundika vijana mtaani bila kazi. Zaidi watu milion moja wanaingia kwenye soko la ajira kila mwaka halafu wanaoajiriwa hata elfu 50 hawafiki. Vijana wanajazana humo UVCCM wakizani watapata favor ya ajira lakini wapi.
Miaka 10 iyayo patakua na nyomi la jobless ambao wataichomoa hi CCM madarakani.
Nchi za Ulaya pametulia kwa sababu majority ya vijana wanaajira rasmi.