Kurusha manii kunakotakiwa

Kurusha manii kunakotakiwa

Mommadou Keita

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2013
Posts
230
Reaction score
238
WANAUME wengi humu JF wanapoamua kuzungumzia kuhusu matatizo yao wanazungumzia sana kuhusu nguvu za kiume, lakini kuna tatizo la wanaume ambao wanashindwa kuwapa wake zao mimba pamoja na kwamba wanaonekana kuwa na nguvu za kiume.
Binafsi nimegundua kwamba baadhi ya wanaume (nimeongea na watatu) wakati wakiwa wanashusha mzigo manii au shahawa zao zinashindwa kutoka kwa kuruka (kutoka katika mpangilio maalum)... Inasemekana kwamba ugonjwa huu unatokana na wanaume kupendelea sana kula vyakula vya mafuta na kuacha kufanya mazoezi. Kama kuna mtaalamu ambaye anaweza kuufafanua kwa kina ugonjwa itakuwa vyema kwa waliothirika nao, naamini wapo wengi zaidi watajifunza. naomba kufungua hoja.
 
WANAUME wengi humu JF wanapoamua kuzungumzia kuhusu matatizo yao wanazungumzia sana kuhusu nguvu za kiume, lakini kuna tatizo la wanaume ambao wanashindwa kuwapa wake zao mimba pamoja na kwamba wanaonekana kuwa na nguvu za kiume.
Binafsi nimegundua kwamba baadhi ya wanaume (nimeongea na watatu) wakati wakiwa wanashusha mzigo manii au shahawa zao zinashindwa kutoka kwa kuruka (kutoka katika mpangilio maalum)... Inasemekana kwamba ugonjwa huu unatokana na wanaume kupendelea sana kula vyakula vya mafuta na kuacha kufanya mazoezi. Kama kuna mtaalamu ambaye anaweza kuufafanua kwa kina ugonjwa itakuwa vyema kwa waliothirika nao, naamini wapo wengi zaidi watajifunza. naomba kufungua hoja.



mkuu umegonga ikulu hapa huwa mimi nahisi sielewekagi katka kuuliza hili swali!!
Ngoja nitafute link/post narudi!


gody wakuu nimewaelewa vizur mpaka nimefurah! Nashukuru kama kuna hajaelewa basi naomba asome vizuri!
Ok mim nina maswali ma 2 kama ntaeleweka
1.kama mtu anatatzo pre-mature ejaculation inakuwaje?

2. Nimekuwa nikimchunguza wife wangu kwa mda kidogo wakati wa maandaliz nikiingiza kidole kunako kwa uke ndani kabisa mbona sioni tundu la uzazi?
Sasa hizo mbegu zinaingiaje au ni kwa wote huwa wapo hivi au ni mim sio kwamba sjawah kuwa na madem kabla ya wife wangu mpendwa bali sikuwa na tension ya kufatilia hii kitu kule tulikuwa tunatafuta raha tu!!
na kuongezea alishapima autra-sound na tukakuta hamna tatzo
msaada kwa hili plz
naongezea na huyu MziziMkavu na wengine[/QUOTE]

majibu


Mkuu swali la kwanza ( Pre-mature ejaculation) ukiwa na hilo tatizo unakuwa huwezi kulifurahia starehe yako ya ngono utakuwa wewe unamalizamapema kumwaga wakati mpenzi wako hajafika kileleni itakuwa wewe umemaliza lakini mwenzi wako hajamaliza kufika kileleni matokeo yake ndani ya ndoa ni ugomvi mtupu.

Na kuhusu swali lako la pili inakuwaje wewe umchunguze tundu yake Mke wako na umeona kuwa hana tundu kivipi? una wasiwasi hataweza kushika mimba? Unanishangaza hapo Je mke wako hajazaa bado?

nawaita tena watu8, MziziMkavu, Chocs na waelewa wengine mnahitajika pia ktk hili au je hili sio tatzoo?
 
Last edited by a moderator:
mkuu umegonga ikulu hapa huwa mimi nahisi sielewekagi katka kuuliza hili swali!!
Ngoja nitafute link/post narudi!


gody wakuu nimewaelewa vizur mpaka nimefurah! Nashukuru kama kuna hajaelewa basi naomba asome vizuri!
Ok mim nina maswali ma 2 kama ntaeleweka
1.kama mtu anatatzo pre-mature ejaculation inakuwaje?

2. Nimekuwa nikimchunguza wife wangu kwa mda kidogo wakati wa maandaliz nikiingiza kidole kunako kwa uke ndani kabisa mbona sioni tundu la uzazi?
Sasa hizo mbegu zinaingiaje au ni kwa wote huwa wapo hivi au ni mim sio kwamba sjawah kuwa na madem kabla ya wife wangu mpendwa bali sikuwa na tension ya kufatilia hii kitu kule tulikuwa tunatafuta raha tu!!
na kuongezea alishapima autra-sound na tukakuta hamna tatzo
msaada kwa hili plz
naongezea na huyu MziziMkavu na wengine

majibu




nawaita tena watu8, MziziMkavu, Chocs na waelewa wengine mnahitajika pia ktk hili au je hili sio tatzoo?[/QUOTE]
gody wakati mwingine mwanamke anaweza kuwa ok kwa ultra sound but ikawa mrija umeziba n.k. ni vema kuonana na gyno mzuri ili amcheck kwa umakini wanasaidia sana watu na wake zenu watapata mimba.

Kujua hiyo tundu ya uzazi we unaitambua? Are u a doctor? Gyno ama doctors ndio wanaelewa hayo mambo na maumbile yalivyo kwa ndani.

Mpeleke regency kuna nice gyno pale.

Msaada zaidi ngoja aje mimi49 na wenzake maaana ndio wataalamu wenyewe.
 
Last edited by a moderator:
Jamani mambo mengune yaacheni hivo hivo kwani ukimchunguza bata sana
 
houseWife na St.Apolinary
tundu la uzazi sio topc saana hiyo nilii quote tokea sehemu ama thread nyingine ndo nikaiquote kwa ujumla
lkn matter ni kuwahi kufika na manii kutokuruka!..
 
Last edited by a moderator:
WANAUME wengi humu JF wanapoamua kuzungumzia kuhusu matatizo yao wanazungumzia sana kuhusu nguvu za kiume, lakini kuna tatizo la wanaume ambao wanashindwa kuwapa wake zao mimba pamoja na kwamba wanaonekana kuwa na nguvu za kiume.
Binafsi nimegundua kwamba baadhi ya wanaume (nimeongea na watatu) wakati wakiwa wanashusha mzigo manii au shahawa zao zinashindwa kutoka kwa kuruka (kutoka katika mpangilio maalum)... Inasemekana kwamba ugonjwa huu unatokana na wanaume kupendelea sana kula vyakula vya mafuta na kuacha kufanya mazoezi. Kama kuna mtaalamu ambaye anaweza kuufafanua kwa kina ugonjwa itakuwa vyema kwa waliothirika nao, naamini wapo wengi zaidi watajifunza. naomba kufungua hoja.
Kwa maelezo yako inaonyesha umeelezea kitu ambacho teyari wewe unakijuwa ufumbuzi wake sasa unataka tukwambie kitu gani tena na wakati umeshasema yote wewe ?na watu wengine wamesha kujibu teyari? Ufumbuzi wa hilo swala tutafute dawa yake tu.
 
gody labda mkao unaomuweka wakati unaingiza kidole unafanya usifikie eneo la cervix, hakuna uwezekano kidole chako kifikie eneo la uterus(mfuko wa uzazi kama ndivyo ulivyokuwa ukidhamiria!!Inabidi ajikunje au magoti yawe kwenye kifua ili ufikie hilo eneo la cervix(external os)!na uwazi wenyewe upo tofauti kwasababu hajazaa utakuwa kama rosebud(umejikunja na kujificha zaidi).
Kama alishapima ultrasound hakuna tatizo mkuu!!Ondoa shaka mkeo hio tundu ya uke anayo inakuwa imevificha sio rahisi kuihisi!!
Mbegu za kiume zina uwezo mkubwa sana wa kuogelea na zinafika zinapotakiwa kwenda wasiwasi wako tu!!
493x335_cervix.jpg
Cervix2.gif
Cc @HOUSE WIFE
 
gody labda mkao unaomuweka wakati unaingiza kidole unafanya usifikie eneo la cervix, hakuna uwezekano kidole chako kifikie eneo la uterus(mfuko wa uzazi kama ndivyo ulivyokuwa ukidhamiria!!Inabidi ajikunje au magoti yawe kwenye kifua ili ufikie hilo eneo la cervix(external os)!na uwazi wenyewe upo tofauti kwasababu hajazaa utakuwa kama rosebud(umejikunja na kujificha zaidi).
Kama alishapima ultrasound hakuna tatizo mkuu!!Ondoa shaka mkeo hio tundu ya uke anayo inakuwa imevificha sio rahisi kuihisi!!
Mbegu za kiume zina uwezo mkubwa sana wa kuogelea na zinafika zinapotakiwa kwenda wasiwasi wako tu!!
View attachment 116991
View attachment 116990
Cc House Wife
tumekupata vyema mpenzi. gody jitahidi tu mtapata wala msihofu, acha stress za kutaka sana relax na mdo kwa kuenjoy itajipa tu. Kila la kheri ndugu.
 
Last edited by a moderator:
gody labda mkao unaomuweka wakati unaingiza kidole unafanya usifikie eneo la cervix, hakuna uwezekano kidole chako kifikie eneo la uterus(mfuko wa uzazi kama ndivyo ulivyokuwa ukidhamiria!!Inabidi ajikunje au magoti yawe kwenye kifua ili ufikie hilo eneo la cervix(external os)!na uwazi wenyewe upo tofauti kwasababu hajazaa utakuwa kama rosebud(umejikunja na kujificha zaidi).
Kama alishapima ultrasound hakuna tatizo mkuu!!Ondoa shaka mkeo hio tundu ya uke anayo inakuwa imevificha sio rahisi kuihisi!!
Mbegu za kiume zina uwezo mkubwa sana wa kuogelea na zinafika zinapotakiwa kwenda wasiwasi wako tu!!
View attachment 116991
View attachment 116990
Cc House Wife

wakuu yaani hapa katka hili ndo nimewaelewa mara 400, sasa naomba turud kwenye topc maana ndo kilichofanya nitafute post nyingine ili kukazia alicholeta mleta mada

tumekupata vyema mpenzi. gody jitahidi tu mtapata wala msihofu, acha stress za kutaka sana relax na mdo kwa kuenjoy itajipa tu. Kila la kheri ndugu.

nimekuelewa mkuu ila naomba turudi ktk
swala la Manii na kuwah kufika kileleni
je mwanamke anaweza pata ujauzito????????
 
Last edited by a moderator:
Kutia mimba hakuna uhusiano wa moja kwa moja na kiwango cha "pressure" ya manii wakati inapotoka. Ndio sababu katika kuepuka mimba mwanamke anashauriwa asithubutu kuacha sperm zikagusa nyeti zake. Sperms (y,x chromosomes) zinaouwezo wa kuogelea zenyewe (katiki uteute wa uke) na kufika zinapotakiwa kufika tayari kwa kurutubisha yai.
 
Kutia mimba hakuna uhusiano wa moja kwa moja na kiwango cha "pressure" ya manii wakati inapotoka. Ndio sababu katika kuepuka mimba mwanamke anashauriwa asithubutu kuacha sperm zikagusa nyeti zake. Sperms (y,x chromosomes) zinaouwezo wa kuogelea zenyewe (katiki uteute wa uke) na kufika zinapotakiwa kufika tayari kwa kurutubisha yai.



nimekuelewa mkuu nashukuru sana sana!! Sleep tyt mkuu!!
 
  • Thanks
Reactions: SMU
wakuu yaani hapa katka hili ndo nimewaelewa mara 400, sasa naomba turud kwenye topc maana ndo kilichofanya nitafute post nyingine ili kukazia alicholeta mleta mada



nimekuelewa mkuu ila naomba turudi ktk
swala la Manii na kuwah kufika kileleni
je mwanamke anaweza pata ujauzito????????
Anapata kwa kuwa zinatinga ndani mwake. Tatizo ni kwamba umewahi hujamfikisha yeye.
 
Anapata kwa kuwa zinatinga ndani mwake. Tatizo ni kwamba umewahi hujamfikisha yeye.


hebu funguka kidoko mkuu kwahyo hapa
asipofika yeye mimba hapat?
Je na wanaobakwa?
Kujifunza na kwa faida ya wengine!!
 
Wenye uelewa wa haya mambo 2nawategemea sana kwa Ushauri! Jamaa yangu 1 alikuwa na Stress ikafika mahari akahis kupungukiwa nguvu zakiume pia mbegu zake zilikuwa haziruki lkn ana WATOTO 2 akaenda kwa hawa Jamaa wanawaita wa TIBA mBADALA walipo muangalia wakamwambia Anaupungufu hzo nguvu Pia wakamwambia km mbege zake haziruki basi hata watt alionao cwake Jamaa alipata shida sana! Nitamwambia hii habari ili awe na AMANI
Kumbe hakuna uhusiano wwt wakuwa na uwezo wa kutia mimba na kuruka kwa Mbegu duh!
 
Wenye uelewa wa haya mambo 2nawategemea sana kwa Ushauri! Jamaa yangu 1 alikuwa na Stress ikafika mahari akahis kupungukiwa nguvu zakiume pia mbegu zake zilikuwa haziruki lkn ana WATOTO 2 akaenda kwa hawa Jamaa wanawaita wa TIBA mBADALA walipo muangalia wakamwambia Anaupungufu hzo nguvu Pia wakamwambia km mbege zake haziruki basi hata watt alionao cwake Jamaa alipata shida sana! Nitamwambia hii habari ili awe na AMANI
Kumbe hakuna uhusiano wwt wakuwa na uwezo wa kutia mimba na kuruka kwa Mbegu duh!


haya ndio maelezo hasa mimi niliyokuwa nayataka wayatoe kabisaa!!!
 
hii mada imetulia.
Ngoja tusubiri wenye ujuzi zaidi waje watuelimishe.
 
Back
Top Bottom