Kuruta 131 wafukuzwa shule ya polisi Tanzania kwa utovu wa nidhamu

Kuruta 131 wafukuzwa shule ya polisi Tanzania kwa utovu wa nidhamu

Ndagullachrles

Senior Member
Joined
Jun 20, 2023
Posts
153
Reaction score
161
Vijana 131 kati ya vijana 3,698 waliokuwa kwenye mafunzo ya awali ya askari polisi kwenye shule ya polisi Tanzania zamani ikiitwa CCP ,wameshindwa kuendelea na masomo baada ya kufukuzwa shuleni hapo kutokana na makosa mbalimbali ikiwamo ya utovu wa nidhamu.

Hayo yamo kwenye Taarifa ya mkuu wa shule hiyo Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa polisi(SACP),Ramadhan Mungi wakati wa kufunga mafunzo ya awali kwa askari wapya wa polisi wa kozi namba moja 2023/2024.

Alisema oktoba mwaka jana chuo hicho kiliwapokea wanafunzi 3,698 na kati ya hao wanawake ni 1,997 na wanaume ni 2,601 ambao walianza masomo yaliyogawanywa kwenye vipindi vinne vyenye wiki 12 kila kipindi .

Amesema mafunzo yaliyotolewa kwa vijana hao ni pamoja na misingi imara ya kuwa askari imara ,mafunzo ya matumizi ya silaha,mafunzo ya kuwaongezea utimamu wa mwili na akili.

Mafunzo mengine ni pamoja na kupewa maarifa na ujuzi wa kazi za msingi za askari wa polisi ,kazi za msingi za kazi za polisi na utawala,sheria za msingi za polisi na haki za binadamu .

Mengine ni sheria za msingi za makosa ya jinai,sheria za msingi za mwenendo wa mashitaka ya makosa ya jinai.

Kuruta hao pia walipewa mafunzo ya ujuzi wa mawasiliano na matumizi ya teknolojia ya habari.

Awamu ya tatu ya mafunzo hayo yalihusisha kuwapa maarifa na ujuzi unaowezesha kutenda kazi zao za polisi ambako masomo saba yalifundishwa.

Masomo hayo ni pamoja na sheria ya ushahidi ,upelelezi,intelijensia,jinsi ya kushughulika na masuala ya usalama barabarani .

Masomo mengine ni afya ya jamii na ulinzi wa mazingira,jinsia na ulinzi wa mtoto,mafunzo ya ugaidi na imani kali,kudhibiti ghasia na kushughulika na majanga .

Kwa mujibu wa Kamishna Mungi,baada ya mafunzo hayo kuruta hao walipelekwa ofisi ya kamanda wa polisi mkoa wa Kilimanjaro ambako walifanya kazi zinazofanywa na askari mwenye cheo cha konstebo ikiwamo kushika doria,chumba cha mashitaka ,kulinda wafungwa mahakamani,usalama barabarani.

Kazi zingine ni kusindikiza wafungwa,kusaidia waendesha mashitaka pamoja na dawati la jinsia .

Amesema vijana hao walihimisha mafunzo yao huko West Kilimanjaro ambako walipata mafunzo ya medali za mbinu za kivita.

Vijana hao walipimwa kiwango cha maarifa ,kiwango cha ujuzi katika kila somo na uwezo wa kutenda kwa vitendo .

Vijana hao pia walipimwa tabia kama zinafanana au zinaendana na tabia za askari polisi.

Soma Pia: Askari wanne wafukuzwa kazi kwa kufuta picha za kwenye kamera ya mwendokasi

Amesema mitihani ilifanyika kwa nadhalia na vitendo ambapo matokeo ya mitihani hiyo yakawasukuma nje vijana hao na kubaki vijana 3,567.

Snapinsta.app_464371766_530981469551360_7150424649665966416_n_1080.jpg
Mwisho
 
Baada ya mafunzo yote hayo mnawapiga chini!! Ili waje uraiani kutusulubu na roba za mbao au huo ujuzi mnawanyang'anya?!😢
 
Hapo kwenye, kozi ya SHERIA ZA MSINGI ZA POLICE na HAKI ZA BINADAMU, wengi wao huwa WANAELEWA kweli??
 
Vijana 131 kati ya vijana 3,698 waliokuwa kwenye mafunzo ya awali ya askari polisi kwenye shule ya polisi Tanzania zamani ikiitwa CCP ,wameshindwa kuendelea na masomo baada ya kufukuzwa shuleni hapo kutokana na makosa mbalimbali ikiwamo ya utovu wa nidhamu.

Hayo yamo kwenye Taarifa ya mkuu wa shule hiyo Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa polisi(SACP),Ramadhan Mungi wakati wa kufunga mafunzo ya awali kwa askari wapya wa polisi wa kozi namba moja 2023/2024.

Alisema oktoba mwaka jana chuo hicho kiliwapokea wanafunzi 3,698 na kati ya hao wanawake ni 1,997 na wanaume ni 2,601 ambao walianza masomo yaliyogawanywa kwenye vipindi vinne vyenye wiki 12 kila kipindi .

Amesema mafunzo yaliyotolewa kwa vijana hao ni pamoja na misingi imara ya kuwa askari imara ,mafunzo ya matumizi ya silaha,mafunzo ya kuwaongezea utimamu wa mwili na akili.

Mafunzo mengine ni pamoja na kupewa maarifa na ujuzi wa kazi za msingi za askari wa polisi ,kazi za msingi za kazi za polisi na utawala,sheria za msingi za polisi na haki za binadamu .

Mengine ni sheria za msingi za makosa ya jinai,sheria za msingi za mwenendo wa mashitaka ya makosa ya jinai.

Kuruta hao pia walipewa mafunzo ya ujuzi wa mawasiliano na matumizi ya teknolojia ya habari.

Awamu ya tatu ya mafunzo hayo yalihusisha kuwapa maarifa na ujuzi unaowezesha kutenda kazi zao za polisi ambako masomo saba yalifundishwa.

Masomo hayo ni pamoja na sheria ya ushahidi ,upelelezi,intelijensia,jinsi ya kushughulika na masuala ya usalama barabarani .

Masomo mengine ni afya ya jamii na ulinzi wa mazingira,jinsia na ulinzi wa mtoto,mafunzo ya ugaidi na imani kali,kudhibiti ghasia na kushughulika na majanga .

Kwa mujibu wa Kamishna Mungi,baada ya mafunzo hayo kuruta hao walipelekwa ofisi ya kamanda wa polisi mkoa wa Kilimanjaro ambako walifanya kazi zinazofanywa na askari mwenye cheo cha konstebo ikiwamo kushika doria,chumba cha mashitaka ,kulinda wafungwa mahakamani,usalama barabarani.

Kazi zingine ni kusindikiza wafungwa,kusaidia waendesha mashitaka pamoja na dawati la jinsia .

Amesema vijana hao walihimisha mafunzo yao huko West Kilimanjaro ambako walipata mafunzo ya medali za mbinu za kivita.

Vijana hao walipimwa kiwango cha maarifa ,kiwango cha ujuzi katika kila somo na uwezo wa kutenda kwa vitendo .

Vijana hao pia walipimwa tabia kama zinafanana au zinaendana na tabia za askari polisi.

Soma Pia: Askari wanne wafukuzwa kazi kwa kufuta picha za kwenye kamera ya mwendokasi

Amesema mitihani ilifanyika kwa nadhalia na vitendo ambapo matokeo ya mitihani hiyo yakawasukuma nje vijana hao na kubaki vijana 3,567.

Mwisho
Wavunjaji wa Haki za Binadamu zaidi ya 3,000 wameingizwa kwenye mfumo

Demonstration waliyoionesha lazima stunts za maandamano ya kudai haki ilikuwepo na vikosi vilijipanga kwa silaha na mbwa kuwakabili wasio na silaha
 
Kwa kuwafukuza huko wamezuia washenzi wachache wasiongezeke kwenye idadi ya washenzi wengi waliopo huko upolisini
 
Kwa elimu gani waliyonayo hao kuruta hadi kufikia kupewa mafunzo yote hayo? Hii hii ya kidato cha nne na D mbili!! Au siku hizi sifa za ufaulu wa kujiunga umeongezwa!
Jeshi la polisi kuweni siriaz bhana.
 
SACP RAMADHAN MUNGI Bado Atujaelewa vizuri hawo Waliofukuzwa Je Walikwisha Maliza kozi au Bado Walikuwa Wapo kwenye Kozi? Tunajua Mwezi wa 9/2024 TAREHE 29/9/2024 Kuna Vijana Wamekwenda Depo police Moshi 3500, Je ndio hawo Waliopunguzwa Au Wale Waliokwenda Depo Mwaka huu 2024 Mwezi 7?
 
Vijana 131 kati ya vijana 3,698 waliokuwa kwenye mafunzo ya awali ya askari polisi kwenye shule ya polisi Tanzania zamani ikiitwa CCP ,wameshindwa kuendelea na masomo baada ya kufukuzwa shuleni hapo kutokana na makosa mbalimbali ikiwamo ya utovu wa nidhamu.

Hayo yamo kwenye Taarifa ya mkuu wa shule hiyo Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa polisi(SACP),Ramadhan Mungi wakati wa kufunga mafunzo ya awali kwa askari wapya wa polisi wa kozi namba moja 2023/2024.

Alisema oktoba mwaka jana chuo hicho kiliwapokea wanafunzi 3,698 na kati ya hao wanawake ni 1,997 na wanaume ni 2,601 ambao walianza masomo yaliyogawanywa kwenye vipindi vinne vyenye wiki 12 kila kipindi .

Amesema mafunzo yaliyotolewa kwa vijana hao ni pamoja na misingi imara ya kuwa askari imara ,mafunzo ya matumizi ya silaha,mafunzo ya kuwaongezea utimamu wa mwili na akili.

Mafunzo mengine ni pamoja na kupewa maarifa na ujuzi wa kazi za msingi za askari wa polisi ,kazi za msingi za kazi za polisi na utawala,sheria za msingi za polisi na haki za binadamu .

Mengine ni sheria za msingi za makosa ya jinai,sheria za msingi za mwenendo wa mashitaka ya makosa ya jinai.

Kuruta hao pia walipewa mafunzo ya ujuzi wa mawasiliano na matumizi ya teknolojia ya habari.

Awamu ya tatu ya mafunzo hayo yalihusisha kuwapa maarifa na ujuzi unaowezesha kutenda kazi zao za polisi ambako masomo saba yalifundishwa.

Masomo hayo ni pamoja na sheria ya ushahidi ,upelelezi,intelijensia,jinsi ya kushughulika na masuala ya usalama barabarani .

Masomo mengine ni afya ya jamii na ulinzi wa mazingira,jinsia na ulinzi wa mtoto,mafunzo ya ugaidi na imani kali,kudhibiti ghasia na kushughulika na majanga .

Kwa mujibu wa Kamishna Mungi,baada ya mafunzo hayo kuruta hao walipelekwa ofisi ya kamanda wa polisi mkoa wa Kilimanjaro ambako walifanya kazi zinazofanywa na askari mwenye cheo cha konstebo ikiwamo kushika doria,chumba cha mashitaka ,kulinda wafungwa mahakamani,usalama barabarani.

Kazi zingine ni kusindikiza wafungwa,kusaidia waendesha mashitaka pamoja na dawati la jinsia .

Amesema vijana hao walihimisha mafunzo yao huko West Kilimanjaro ambako walipata mafunzo ya medali za mbinu za kivita.

Vijana hao walipimwa kiwango cha maarifa ,kiwango cha ujuzi katika kila somo na uwezo wa kutenda kwa vitendo .

Vijana hao pia walipimwa tabia kama zinafanana au zinaendana na tabia za askari polisi.

Soma Pia: Askari wanne wafukuzwa kazi kwa kufuta picha za kwenye kamera ya mwendokasi

Amesema mitihani ilifanyika kwa nadhalia na vitendo ambapo matokeo ya mitihani hiyo yakawasukuma nje vijana hao na kubaki vijana 3,567.

Mwisho

= nadharia.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Hiyo shule haina tija maana anazalisha wa kinamafwele wengi ambao hawana faida kwenye jamii.Hicho chuo kifutwe
 
Back
Top Bottom