Anita Baby JF-Expert Member Joined Oct 2, 2011 Posts 1,265 Reaction score 540 Jan 7, 2012 #1 Nijuzeni ni kipindi gani/wakati gani riwaya ya kusadikika iliandikwa? Ma2kio ya wakati huo yaliyoambatana na kusadikika
Nijuzeni ni kipindi gani/wakati gani riwaya ya kusadikika iliandikwa? Ma2kio ya wakati huo yaliyoambatana na kusadikika
Ndibalema JF-Expert Member Joined Apr 26, 2008 Posts 10,955 Reaction score 4,656 Jan 7, 2012 #2 Shaaban Robert aliona mbali sana. Matukio aliyoandika mule yalikuwepo, yapo na yataendelea kuwepo kwa nchi zetu za Afrika hususani Tanzania.
Shaaban Robert aliona mbali sana. Matukio aliyoandika mule yalikuwepo, yapo na yataendelea kuwepo kwa nchi zetu za Afrika hususani Tanzania.
A Akili Kichwani JF-Expert Member Joined Jan 7, 2010 Posts 1,508 Reaction score 220 Jan 7, 2012 #3 mwnye soft copy atubandikie....................................
Ndibalema JF-Expert Member Joined Apr 26, 2008 Posts 10,955 Reaction score 4,656 Jan 7, 2012 #4 Akili Kichwani said: mwnye soft copy atubandikie.................................... Click to expand... Hapana mkuu, tuunge mkono kazi za sanaa kwa kununua vitabu. Kanunue kopi yako mkuu.
Akili Kichwani said: mwnye soft copy atubandikie.................................... Click to expand... Hapana mkuu, tuunge mkono kazi za sanaa kwa kununua vitabu. Kanunue kopi yako mkuu.
A Akili Kichwani JF-Expert Member Joined Jan 7, 2010 Posts 1,508 Reaction score 220 Jan 8, 2012 #5 Ndibalema said: Hapana mkuu, tuunge mkono kazi za sanaa kwa kununua vitabu. Kanunue kopi yako mkuu. Click to expand... mmmh................. haya mkuu, naona umekuwa mkali kweli.................... ngoja basi nikirudi bongo nitajitahidi kujipigapiga .................
Ndibalema said: Hapana mkuu, tuunge mkono kazi za sanaa kwa kununua vitabu. Kanunue kopi yako mkuu. Click to expand... mmmh................. haya mkuu, naona umekuwa mkali kweli.................... ngoja basi nikirudi bongo nitajitahidi kujipigapiga .................