Kusafiri nchini China kufanya ziara na tafiti ya bidhaa

Political Engineer2

Senior Member
Joined
Feb 23, 2018
Posts
149
Reaction score
117
Wadau kwa Mara nyingine salaam.

Nahitaji kufanya biashara ya kuuza bidhaa za stationary kwa bei ya jumla,

Kabla ya kuanza nataka kwanza nisafiri nchini China nifanye survey ya bidhaa hiyo na gharama zake kisha nione kama nitapata faida.

Naomba kujua gharama halisi ya nauri na cost za kuishi uko hotelini na kana kuna mwenye uzoefu wa kwenda China kwa bidhaa yoyote anisaidie

Asanteni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hello, cost ya usafiri inategemea na msimu. Kuna high season na low season bei zinakuwa tofauti.
ILA ticket ya kwenda inaweza kuanzia 900,000-1,500,000
Hotel kwa siku ni 100¥ hii ni lowest price ambayo ni Tsh 35,000 kuna mitaa ya waafrika kabisa, huku unaweza pata hotel kwa bei nzuri.
Chakula unapata kwanzia ¥25
For more info please contact me
WhatsApp +8618857052304
Mimi nasoma huku China na pia nafanya biashara ya kufungia mizigo wateja wa jumla
Check my Instagram page @panda_sourcing
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…