Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana kiongozi, nitajaribu kufanya hivyoKama ni kwa matumizi tu na sio biashara,jaribu kuwasiliana na mawakala wa usafiri wa anga (kama utatumia ndege kusafirisha) wakupatie maelekezo na garama,na taratibu za kufuata...kwa sababu utasafirishwa kama mzigo tu.
Wakuu habari. Nina uza asali ya nyuki wakubwa ninayo nyingi mno nisaidieni mwenye kufaham soko la uhakika hata tani 30 inafika pia nta zake zipo nyingi sana. Ahsanteni.
Lita 20 = 100,000Tuwekee bei Kiongozi kipimo cha lita 20.
Uwe unaweka number ya simu na useme ni Asali ya wapi! Na ww uko wapi?Wakuu habari. Nina uza asali ya nyuki wakubwa ninayo nyingi mno nisaidieni mwenye kufaham soko la uhakika hata tani 30 inafika pia nta zake zipo nyingi sana. Ahsanteni.
Sawa, Asali ipo Mbeya namba yangu 0653240453, ni Mbichi Nyuki wakubwa,. Ni asali pure kabisa. Lita 20 ni 100,000 na ipo kwa wingi wa tani 50.Uwe unaweka number ya simu na useme ni Asali ya wapi! Na ww uko wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Inatokea mkoa wa MbeyaKutoka mkoa gani?
Inatokea mkoa wa Mbeya
Karibu Sana bila Shaka Mkuu.Asante naweza kukutafuta kibiashara zaidi.
unaishi wap weweWakuu habari. Nina uza asali ya nyuki wakubwa ninayo nyingi mno nisaidieni mwenye kufaham soko la uhakika hata tani 30 inafika pia nta zake zipo nyingi sana. Ahsanteni.
. Nataka nkupe akili moja jinsi ya kuiuza iyo asali. Je uko tayari?
Sawa ntashukuru sana. Nataka nkupe akili moja jinsi ya kuiuza iyo asali. Je uko tayari?
. What's app me on 627902131Karibu Sana bila Shaka Mkuu.
Tuwasiliane nahitaji Lita 20.Wakuu habari. Nina uza asali ya nyuki wakubwa ninayo nyingi mno nisaidieni mwenye kufaham soko la uhakika hata tani 30 inafika pia nta zake zipo nyingi sana. Ahsanteni.
Naomba contact zako mkuuLita 20 = 100,000