Mshimba1971
Member
- Dec 13, 2021
- 75
- 67
Wadau salaam,
Naomba connection kwa mtu yoyote mwenye uzoefu wa kusafirisha mifugo kutoka mkoani iringa kuja Dar hasa mbuzi na ng'ombe.
Natafuta mdau wa kuchangia usafiri ili nilete mifugo. Kutoka Iringa kuja Dar
Ahsante.
Naomba connection kwa mtu yoyote mwenye uzoefu wa kusafirisha mifugo kutoka mkoani iringa kuja Dar hasa mbuzi na ng'ombe.
Natafuta mdau wa kuchangia usafiri ili nilete mifugo. Kutoka Iringa kuja Dar
Ahsante.