blactrader
Member
- Jun 8, 2016
- 6
- 10
Wakuu habari nahitaji msaada wa kujua gharama za kusafirisha mzigo kutoka mbeya kuja arusha (tani 14) na kahama kuja arusha(tani 10). Bidhaa ni mchele
Kwa anaejua gharama naomba msaada
Kwa anaejua gharama naomba msaada