Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona uganda nasikia nguo bei rahisi ww inakuqje upeleke kule tena?Habari.
Naomba kujua njia ninayoweza kusafirisha mzigo kama wa kilo tano (nguo) kwa ajili ya biashara.
Kuna basi nimeliulizia naona gharama yake sijakubaliana.
ukienda kwenye basi usitaje gharama kubwa ya hizo nguo.Habari.
Naomba kujua njia ninayoweza kusafirisha mzigo kama wa kilo tano (nguo) kwa ajili ya biashara.
Kuna basi nimeliulizia naona gharama yake sijakubaliana.
Hizo huwa story tu za watanganyika wanaochukia nchi yaoMbona uganda nasikia nguo bei rahisi ww inakuqje upeleke kule tena?
upo sahihi mkuu,kule nguo ni bei ndogo mno!Hizo huwa story tu za watanganyika wanaochukia nchi yao
Hizo huwa story tu za watanganyika wanaochukia nchi yao
Nyie wawili mnachanganyana😁😁😁upo sahihi mkuu,kule nguo ni bei ndogo mno!
😅😅nimekosea mkuu nilitaka kumwambia huyo mdau hapo juu aliyesema Uganda nguo bei chee kuwa yupo sahihiNyie wawili mnachanganyana😁😁😁
Mmoja anasema ni sahihi uganda bei rahisi
mwingine anasema hizo ni stori tuu😀😀
alpha walk fafanua kidogo maana uliye mtag kasema ni stori za kitaa tu na ww ukamtag na kusema yupo sahihi lakin ukakazia nguo ni bei rahisi😀
Ni kanga. Zinatofautiana kidogo za kule na huku.Mbona uganda nasikia nguo bei rahisi ww inakuqje upeleke kule tena?
Napima biashara kwanzaNguo kilo 5 hazifiki hata balo Moja. Alafu unapeleka Uganda ambako nguo bei chee ?. Ebu sema ukweli Kuna biashara gani unaenda kufanya Uganda.
Miaka 3 au 5 iliyopita ilikuwa ni kweli lkn kwa sasa Uganda haina tofauti na RwandaMbona uganda nasikia nguo bei rahisi ww inakuqje upeleke kule tena?
Sikushauri Uganda peleka Michele lakini nguo viatu kule wapi mbaliHabari.
Naomba kujua njia ninayoweza kusafirisha mzigo kama wa kilo tano (nguo) kwa ajili ya biashara.
Kuna basi nimeliulizia naona gharama yake sijakubaliana.