Kusaga kumbe alisimu!!!

Status
Not open for further replies.
Daah hiyo haijakaa sawa..
 
Nami nimepata shombe shombe la kiislam nitaslimu tu maana hamna namna! Ila nikishachukua mzigo wangu nauanzia mahubiri kwangu
Daah ,tunafana,mimi nimepata totoz sumu balaa,babake mchungaji katika kanisa moja mwenge,nitaenda kwenye dini yake
kulamba sukari ikiisha narudi kwenye imani yangu..
 
Sawa sawa mkuu umenena
 
Hawa ndo watu waliozaliwa kweny shidaa sasa wamepata zeni wanasahau where are they coming from!!! Mara nyng huwa ivyo hawajazoea pesa.... Kushika pesa ukubwan taaaaabuuuuuuuu
 
Duh! Mbona hii kinyume. Wakubwa wengi wanapopita akina sisi husimama.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…