Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Ungewaambia waache ungese wao.hii kitu ngumu sana ndugu zangu...tunapaswa kuwasaidia hakika...ila ukicheza hao ndio watakuangusha.....nlishawasomesha shemeji zangu duh...mie sikufika univ....hakika nliwalipia kwa kuunga unga.....walichokuja kuniambia....ila nimewasamehe kabisa...eti " kama baba etu angekuwepo angeweza kutosomesha...tukipata kazi tutakurudishia" na wamepigika na digrii zao...wacha...mmoja fundi simu posta,,,,mwingine keshatunguliwa 2 na baba tofauti......mie nadunda tuuu....adabu imewakaa....
Swali langu ni kwamba wakati mimi napambana wao walikua wanafanya nini!?Ubinafsi si mzuri kama una nafasi au kipato saidia tu wenye uhitaji kwa kufanya hivyo unajenga koo au familia yenye nguvu kiuchumi na maamuzi ktk jamii
Hapa pia kuna tatizo.Kwa andiko hili naamini wewe ni mcha Mungu na bila shaka ni mtu mwenye mafanikio. What a great thinker! Thanks.
Ukijaribu kutazama kwa ukaribuUbinafsi si mzuri kama una nafasi au kipato saidia tu wenye uhitaji kwa kufanya hivyo unajenga koo au familia yenye nguvu kiuchumi na maamuzi ktk jamii
Forget historyJamani jamani wapendwa
Kuna watu humu tumepata mafanikio kutokana na kulelewa na watu ambao sio wazazi wa kutuzaa. Kuna baadhi wazazi wenu walilelewa na wajomba/bamkubwa and all the like.
Upendo ni kitu kidogo sana. Sikulazimishi kupenda lakini upendo unalipa. Kuna mahali unapata msaada usifkiri ni wewe hapana ni sadaka ya mzazi wako alimlea mtu au kumsaidia mtu.
Binafsi yangu wengi walionisaidia kufika hapa sio ndugu wa ukoo ni watu baki kabisa..sikuwafahamu..
Mnahisi connection zinatoka wapi???ishi na watu vizuri na Mungu atakuinulia watu wa kukushika mkono somewhere. Hakuna asiyehitaji msaada nenda hata kwenye biblia akina Yusufu pale ambapo walitajwa kwa Farao yote kwa kumtafsiria mtu ndoto...
#tupendanewapendwalifeistooshorttohate#
Nimekuelewa sana tuForget history
Maisha ya sasa yanaruhusu vipi!?
kwanza hizi connection unataja sio za haki mara zote. Most likely ni kupeana priority in a shortcut way.
Hoja yangu sio kupunguza upendo “NO”
Sababu moja wapo ya kurudishana nyuma ni familia/ndugu kubweteka kwa kutegemea mwingine.
Umenisoma!?
Anawasambaza kama boda la DHL🤣🤣Na ndugu wanaopenda kusaidiwa ni wanajua kuzaa jamani🙌🏽 Yaani wewe unajipinda mtoto mmoja au wawili wasome vizuri yeye anaongeza wa saba na anaoishi nao ni wawili wengine kawasambaza kwa ndugu na lawama juu kwanini wangu hasomi international
Nimekuelewa mkuu.Hupaswi kuwajibu vibaya. Kila wakilia shida wewe Lia mara mbili zaidi
Inategemea umetoka familia gani, hizi familia zetu mzazi unakuta mjasiliamali mdogo hana kipato kikubwa,mzazi anakusomesha kwa tabu we na wadogo zako, bahati nzuri wewe umetoboa mzazi kazeeka hana nguvu za kutafuta hela kama zamani, wewe kama mtoto huo ni wajibu wako kumsaidia mzazi wako na wadogo zako bila kusahau kumtunza mzazi wako kwani unaweza ukakuta hana bima ya Afya. Haya ndio maisha ya watoto wengi walitoboa kutoka familia duni.Nimeona sehem nyingi, familia nyingi na hata mmoja wa polisi aliyefariki kwa tukio la Juzi inaonesha kua alikua tegemeo la familia nzima mpaka mtoto wa kaka yake.
Hoja yangu ni moja.
Hii ni tamaduni au ni vipi!?
Unamaliza shule, unapata kazi baada ya hapo unatakiwa kusaidia familia nzima na ndugu wa pembeni(kitanzania)
Mtazamo wangu:
hii ni moja ya kurudishana nyuma kimaendeleo
Nilidhani ni vema iwe kutazama future ya yako kwanza na kuhudumia/kusaidia wengine isiwe ni wajibu/lazima bali iwe HIYARI kulingana na uwezo wa mtu.
Siku hizi nikisikia mtu anasema hasaidii mtu huwa namuelewa sana binafsi dingi yangu alikuwa first born na alisaidia wadogo zake wote almost 8 na ndugu wapembeni lakini baada ya kifo chake hakuna hata mmoja aliyetupa msaada hata katika nyakati ngumu tulizopitia.Inategemea umetoka familia gani, hizi familia zetu mzazi unakuta mjasiliamali mdogo hana kipato kikubwa,mzazi anakusomesha kwa tabu we na wadogo zako, bahati nzuri wewe umetoboa mzazi kazeeka hana nguvu za kutafuta hela kama zamani, wewe kama mtoto huo ni wajibu wako kumsaidia mzazi wako na wadogo zako bila kusahau kumtunza mzazi wako kwani unaweza ukakuta hana bima ya Afya. Haya ndio maisha ya watoto wengi walitoboa kutoka familia duni.
Ila kama familia bora hela yako fanyia mambo yako binafsi.
Sawa ila angalia walio kunyanyua kwani uliyetafuta naye kuni ndiye wakuota nae moto.Siku hizi nikisikia mtu anasema hasaidii mtu huwa namuelewa sana binafsi dingi yangu alikuwa first born na alisaidia wadogo zake wote almost 8 na ndugu wapembeni lakini baada ya kifo chake hakuna hata mmoja aliyetupa msaada hata katika nyakati ngumu tulizopitia.
Familia zetu za Kitanazania nyingi ni maskini ! Kwa hiyo kama unao uwezo wa kusaidia hasa upande wa elimu usisite kufanya hivyo ili kuongeza wasomi watika ukoo wenu. Mungu akusaidie ili uweze kulitambia hilo.Nimeona sehem nyingi, familia nyingi na hata mmoja wa polisi aliyefariki kwa tukio la Juzi inaonesha kua alikua tegemeo la familia nzima mpaka mtoto wa kaka yake.
Hoja yangu ni moja.
Hii ni tamaduni au ni vipi!?
Unamaliza shule, unapata kazi baada ya hapo unatakiwa kusaidia familia nzima na ndugu wa pembeni(kitanzania)
Mtazamo wangu:
hii ni moja ya kurudishana nyuma kimaendeleo
Nilidhani ni vema iwe kutazama future ya yako kwanza na kuhudumia/kusaidia wengine isiwe ni wajibu/lazima bali iwe HIYARI kulingana na uwezo wa mtu.