Kusain boom Vyuoni (UDSM)

Kusain boom Vyuoni (UDSM)

blind fighter

Member
Joined
May 17, 2021
Posts
62
Reaction score
82
Sasa tumekaa nyumbani wiki tatu, halafu kesho tunafungua chuo unakutana na tangazo kwamba mwanafunzi yeyote hatoruhusiwa kusain stihaki hadi pale atakapopata kitambulisho (ID) ya mwaka mzima.

Sasa mwanafunzi amelipiwa ada asilimia 100 na pia ameshaConfirm registration bado anazuiliwa asiSain mpaka apate kitambulisho. Hivi wanaosema hivi wanaAssume hali ya maisha ni sawa ee?

Sasa kwa nini tuzuiliwe kusaini boom wakati kila mwanafunzi kalipia asilimia 100 na mama samia?

Wanaosema hivi unakuta wamepokea mishahara yao siku tano kabla ya mwisho wa mwezi.. Kwa nini mnatuyesa hivi lakini?

Kingine, baada ya mama samia kuwaongezea wanafunzi ada hadi asilimia 100 kwa wale waliopata nusu ada. Kuna wengine walishalipa ada hadi wakamaliza kulipa ada, therefore wanadai chuo kiwarudishie balance, hii pia bado wamesubirishwa et watapewa mwakani. Sasa kwa nini lakini?

Kwani kurudisha ela kwenye account ya mwanafunzi baada ya kuandika barua ya refund lazima ichukue mwaka mzima kweli?

Ada tumeongezewa na Rais Samia mwezi wa pili mwanzoni, balance haturudishiwi hadi mwaka uishe kweli??
 
Mzee inaonekana una hasira saana, typing error kadhaa,tuliza jazba hii ndio BONGOLAND.
 
Mzee inaonekana una hasira saana, typing error kadhaa,tuliza jazba hii ndio BONGOLAND.
Dah.. Mkuu unajua kuna vitu vingine vinatia hasira kweli sema basi.

Sasa wewe ela ya matumizi ya mwanafunzi (meals and accommodation) inahusiana vipi na Kitambulisho cha mwanafunzi?

Inahusiana vipi na maswala ada? Sasa kama serikali ilshapiga na kitathmini kwamba kwa siku mwanafunzi anatumia elf 8 kwa siku (na kihualisia matumizi yanazidi) na bado tunawekewa vizuizi ya kitambulisho, kwa nini lakini nini?

Tunaumia aisee..
Sasa wanasema hivo hawajui hali ya kiuchumi ya mwanafunzi, na hapo chuo kinafunguliwa na masomo yanaanza siku hiyo hiyo, mbaya zaidi waalimu wengine wanatoa na quiz siku hiyohiyo bila kunua hali ya uchumi ya wanafunzi.

Tunaomba ela ya matumizi ya wanafunzi(meals and accommodation) isihusishwe na maswala ya Adda aisee.
Mnatufanya tuone chuo kama jela.

Bora matokeo yafichwe hadi pale mtu atakapomaliza ada lakini sio kuingilia maswala ya hela ya matumizi aisee
 
Sasa tumekaa nyumbani wiki tatu, halafu kesho tunafungua chuo unakutana na tangazo kwamba mwanafunzi yeyote hatoruhusiwa kusain stihaki hadi pale atakapopata kitambulisho (ID) ya mwaka mzima.

Sasa mwanafunzi amelipiwa ada asilimia 100 na pia ameshaConfirm registration bado anazuiliwa asiSain mpaka apate kitambulisho. Hivi wanaosema hivi wanaAssume hali ya maisha ni sawa ee?

Sasa kwa nini tuzuiliwe kusaini boom wakati kila mwanafunzi kalipia asilimia 100 na mama samia?

Wanaosema hivi unakuta wamepokea mishahara yao siku tano kabla ya mwisho wa mwezi.. Kwa nini mnatuyesa hivi lakini?

Kingine, baada ya mama samia kuwaongezea wanafunzi ada hadi asilimia 100 kwa wale waliopata nusu ada. Kuna wengine walishalipa ada hadi wakamaliza kulipa ada, therefore wanadai chuo kiwarudishie balance, hii pia bado wamesubirishwa et watapewa mwakani. Sasa kwa nini lakini?

Kwani kurudisha ela kwenye account ya mwanafunzi baada ya kuandika barua ya refund lazima ichukue mwaka mzima kweli?

Ada tumeongezewa na Rais Samia mwezi wa pili mwanzoni, balance haturudishiwi hadi mwaka uishe kweli??
Kwaiyo wanafunzi wote wameongezewa 100%? huna data halfu unathibitisha mambo duh.
 
Back
Top Bottom