unatakiwa uanzie pale posta( habari maelezo) kuna karatasi za kujaza halafu utaandika barua ya kuomba kulisajili gazeti,
ukishaipeleka ile barua wataangalia kama jina halipo halafu utapewa karatasi nyingine za kujaza hizo karatasi ndio mambo zenyewe unatakiwa
1. kuwa na mhariri mmoja
2. waandishi wa habari 4 wanaotoka kwenye vyuo vinavyotambuliwa na serikali ( Tumaini dar, STJ na SAUT)
3. uthibitsho kutoka kwa printer
4. bank statement inayoonyesha fedha yenye uwezo wa kuprint gazeti mara 10 mfululizo bila kukoma
vingine vya kawaida sana ila ambavyo ni muhimu ni hivyo