NEW NOEL
JF-Expert Member
- May 21, 2011
- 863
- 408
Tafadhali wadau wakala wa usajili wa biashara (Brela) wameanzisha mfumo wa usajili wa majina ya baishara kwa njia ya mtandao. Ila ni muda sasa mtandao huo unasumbua na haufanyi kazi. Na ukienda ofisi zao wanakataa kusajili.
Je kuna njia nyingine wadau ya kufanya?
Je kuna njia nyingine wadau ya kufanya?