Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
Rwanda imetajwa kuwa nchi inayovutia zaidi wawekezaji na kusajili kampuni no saa 24 tu unakuwa ushakamilisha na hakuna longolongo kama za kwetu.
Hii imevutia wafanyabiashara wengi kusajili kampuni na kuwekeza kwenye sehemu mbalimbali.
Je watanzania tunajifunza nini?
Hii imevutia wafanyabiashara wengi kusajili kampuni na kuwekeza kwenye sehemu mbalimbali.
Je watanzania tunajifunza nini?