Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,304
Ukusanyaji wa kodi tu wanataka mashine wanunue wafanyabiashara halafu watalipwa! !!!!!
Ndio watazingatia hayo mkuu??!!
Wekeza rwanda kama hujipendi,ukikosana na mfalme wao hata uende wapi atakusaka tu na jeshi lake la kutoa roho