Hujaelewa shida ya mleta mada..yeye anataka kusajiri kituo..sio kufanya mtihan..nenda kwenye kituo kilichosajiliwa kufanya mitihani ya PC na QT utapewa reference number ambayo utakwenda nayo posta kulipa ada ya NECTA tsh 50,000 kwa PC na 40,000 QT,.baada ya malipo nenda internet cafe sasa ukafanye usajili wa masomo,jitaidi mwisho ni tar 29 mwezi huu,kuanzia March kutakuwa na faini kidogo.
Amechanganya madawa....Hujaelewa shida ya mleta mada..yeye anataka kusajiri kituo..sio kufanya mtihan
Miss Jf 2016 Asante kwa lumuweka sawa huyo ndugu yetu. Naendelea kufuatilia ushauri unaotolewa hapaHujaelewa shida ya mleta mada..yeye anataka kusajiri kituo..sio kufanya mtihan
Wakuu, Naomba Ushuri au Kuelekezwa Namna ya Kusajiri Kituo cha Kufanyia Mitihani ya QT na Wanaorudia Mitihani ya Kidato cha Nne. Kwa Sasa Kituo Kipo Tuition Center tu, Je Kuna Vigezo Gani Vinahitajika? Usajiri Unatolewa Wizarani au Kupitia NECTA? Na Mengine Yeyote.
Natanguliza Shukrani.