Kusambaratika kwa Uchumi; Henry Rotich atwishwa zigo la lawama

Kusambaratika kwa Uchumi; Henry Rotich atwishwa zigo la lawama

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617

Kufanya makosa ni sehemu ya maisha ya kawaida kwa nchi au binadamu, lakini ikifika hatua ya kulaumiana na kuonyesha na vidole, hiyo ni dalili ya kukata tamaa na kushindwa kurekebisha makosa ili kusonga mbele, baada ya kulaumiana kinachofuata ni kuchapana makofi.

Eeeh bwana Mungu WETU, jaribu kuondoa laana uliyoweka kwa jirani yetu, laana ya ukabila, rushwa, ubinafsi, ulafi na ukora, badala yake uwajaze Amani, Upendo, na vyakula tele kama ulivyoijalia Tanzania, nchi ya maziwa na asali. Amen
 
 
Hii Kenya enye hizi chwara chwara ya Danganyika wanasema is in their Utopia minds.
 
Thank you Danganyikans for watching our channels. I know they are International channels hapo kwenu. It's business to us... Forget about the blah blah blah
 
does that mean the 5-6% growth stated is cooked ama?
Katika huo mjadala wanakiri kwamba Kenya inaishi nje ya uwezo wao, wanapanga mambo makubwa lakini uwezo hawana, eti wanajilinganisha na South Africa au Egypt, wakati hata chakula cha kutosha hawana, wakenya wengi bado wanakufa njaa.
 
Hta ulaji wa albino pia kawajalia sio?

Kufanya makosa ni sehemu ya maisha ya kawaida kwa nchi au binadamu, lakini ikifika hatua ya kulaumiana na kuonyesha na vidole, hiyo ni dalili ya kukata tamaa na kushindwa kurekebisha makosa ili kusonga mbele, baada ya kulaumiana kinachofuata ni kuchapana makofi.

Eeeh bwana Mungu WETU, jaribu kuondoa laana uliyoweka kwa jirani yetu, laana ya ukabila, rushwa, ubinafsi, ulafi na ukora, badala yake uwajaze Amani, Upendo, na vyakula tele kama ulivyoijalia Tanzania, nchi ya maziwa na asali. Amen
 
Leo wamekufa wa ngapi? Lkn hko kwenu kila siku mihogo yaliwa kutwa
Katika huo mjadala wanakiri kwamba Kenya inaishi nje ya uwezo wao, wanapanga mambo makubwa lakini uwezo hawana, eti wanajilinganisha na South Africa au Egypt, wakati hata chakula cha kutosha hawana, wakenya wengi bado wanakufa njaa.
 
Back
Top Bottom