joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Yes by world Bankdoes that mean the 5-6% growth stated is cooked ama?
Katika huo mjadala wanakiri kwamba Kenya inaishi nje ya uwezo wao, wanapanga mambo makubwa lakini uwezo hawana, eti wanajilinganisha na South Africa au Egypt, wakati hata chakula cha kutosha hawana, wakenya wengi bado wanakufa njaa.does that mean the 5-6% growth stated is cooked ama?
Kufanya makosa ni sehemu ya maisha ya kawaida kwa nchi au binadamu, lakini ikifika hatua ya kulaumiana na kuonyesha na vidole, hiyo ni dalili ya kukata tamaa na kushindwa kurekebisha makosa ili kusonga mbele, baada ya kulaumiana kinachofuata ni kuchapana makofi.
Eeeh bwana Mungu WETU, jaribu kuondoa laana uliyoweka kwa jirani yetu, laana ya ukabila, rushwa, ubinafsi, ulafi na ukora, badala yake uwajaze Amani, Upendo, na vyakula tele kama ulivyoijalia Tanzania, nchi ya maziwa na asali. Amen
Katika huo mjadala wanakiri kwamba Kenya inaishi nje ya uwezo wao, wanapanga mambo makubwa lakini uwezo hawana, eti wanajilinganisha na South Africa au Egypt, wakati hata chakula cha kutosha hawana, wakenya wengi bado wanakufa njaa.
Nyama ya Jalua katika kipindi hiki cha Kibera by election vipi?Hta ulaji wa albino pia kawajalia sio?
Wake wasamburu na Turkana wanaomba muwapelekee hiyo Mihogo lakini mnashindwa wanakufa kwa njaaLeo wamekufa wa ngapi? Lkn hko kwenu kila siku mihogo yaliwa kutwa
Nyama ya Jalua katika kipindi hiki cha Kibera by election vipi?
Nyama ya Jaluo ndio tamu zaidi, au namna gani?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]jibu swali..ulaji wa albino pia kawajalia?
Nyama ya Jaluo ndio tamu zaidi, au namna gani?
Pia haibadilishi ukweli kwamba mna lengo la kuwamaliza wajaluo kwa msingi wa kisiasa, mnawaona kama sio wakenya.Haibadilishi ukwel km mnawinda albino..
Only in tanzania