Kusambaza nyama ya kuku kwa walaji

Kusambaza nyama ya kuku kwa walaji

Kig

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2012
Posts
1,076
Reaction score
458
Nina wazo la biashara ambayo itahusisha kununua kuku, kuwachinja, kuhifadhi nyama ya kuku kwenye freezer na hatimaye kusambaza kwa walaji hasa wachoma chips, migahawani, mahotelini na sehemu nyingine kutegemeana na soko. Tafadhalini sana Naomba watu wenye uzoefu au wenye uelewa kuhusiana na hii biashara wanifungue macho kidogo, wanipe uzoefu, changamoto zake, mambo ambayo nahitaji kuyazingatia nk
 
Fanya utafiti wa soko kwanza
Je walaji wanapata wapi kuku na bei zikoje

Pia tembelea wafugaji wa kuku
Je soko wanapata wapi na bei zikoje

Pia angalia issue ya umeme
Je utakuwa na uwezo wa kugandisha kwa umeme huu wa tz?

Kila la kheri.
 
Katika kutafuta soko kuwa makini usipeleke Buserere.
 
Back
Top Bottom