third eye chakra
JF-Expert Member
- Dec 27, 2023
- 713
- 1,745
KUACHILIA/KUSAMEHE.
Ni pale unapokuwa huru ndani mwako,
Jambo hili linatupoteza wengi sana ,na mwishowe tunarudi kuwalaumu wachawi Kwamba ndio wanaotukwamisha mambo yetu kumbe hiyo ni sumu uliyokaa nayo ndani mwako ndio tatizo la mafanikio yako.
Kuna mtu unakuta ametunza kinyongo, ametunza Hasira, ametunza roho mbaya ,ametunza negativity za Kila aina na watu/vitu muda mrefu, hiyo ni sumu ambayo inakudhuru na kukurudisha nyuma mambo yako mengi, ikiwemo kutokuusikia ulimwengu jinsi unavyozungumza nawe, maana umejaa sumu ndani mwako.
Sasa basi jawabu ni kuachilia/KUSAMEHE na kuwa tupu ndani mwako. Ndipo UTAONA mambo mapya yanaanza kumea na kukua ndani mwako.
Hata kama mtu alikufanyia jambo baya Namna gani wewe jitahidi uliachilie/samehe .
KUSAMEHE ni dawa katika mambo yako yaliyokwama.
Ni pale unapokuwa huru ndani mwako,
Jambo hili linatupoteza wengi sana ,na mwishowe tunarudi kuwalaumu wachawi Kwamba ndio wanaotukwamisha mambo yetu kumbe hiyo ni sumu uliyokaa nayo ndani mwako ndio tatizo la mafanikio yako.
Kuna mtu unakuta ametunza kinyongo, ametunza Hasira, ametunza roho mbaya ,ametunza negativity za Kila aina na watu/vitu muda mrefu, hiyo ni sumu ambayo inakudhuru na kukurudisha nyuma mambo yako mengi, ikiwemo kutokuusikia ulimwengu jinsi unavyozungumza nawe, maana umejaa sumu ndani mwako.
Sasa basi jawabu ni kuachilia/KUSAMEHE na kuwa tupu ndani mwako. Ndipo UTAONA mambo mapya yanaanza kumea na kukua ndani mwako.
Hata kama mtu alikufanyia jambo baya Namna gani wewe jitahidi uliachilie/samehe .
KUSAMEHE ni dawa katika mambo yako yaliyokwama.