Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata utopwinyo wanajuaMcheao wa jana baina ya timu ya Simba na KMC ulikuwa ni mchezo mzuri sana na timu ya Simba ilionyesha kiwango cha juu cha kusakata mpira.
Kusema ukweli kwa sasa timu ya Simba ni tishio kwa timu zingine.
Kukaa masaa 24 kileleni mmeanza kupiga makeleleHuo ndio ukweli mchungu kwa Amphibia na maadui wengine😂
Ungekuwa tishio usingekubali kufungwa mara 4 na utopoloMcheao wa jana baina ya timu ya Simba na KMC ulikuwa ni mchezo mzuri sana na timu ya Simba ilionyesha kiwango cha juu cha kusakata mpira.
Kusema ukweli kwa sasa timu ya Simba ni tishio kwa timu zingine.
Umemfunga kmc wa aina Gani kwanza tuanzie hapo! Kama angekutana kmc aliyecheza na yanga na kmc aliyecheza na Simba wangepigana, ni vitu viwili tofauti!Mcheao wa jana baina ya timu ya Simba na KMC ulikuwa ni mchezo mzuri sana na timu ya Simba ilionyesha kiwango cha juu cha kusakata mpira.
Kusema ukweli kwa sasa timu ya Simba ni tishio kwa timu zingine.
Rudia kusoma ulichoandikaKukaa masaa 24 kileleni mmeanza kupiga makelele
Sio Mimi😀😃Rudia kusoma ulichoandika
Kukaa masaa mangapi?Kukaa masaa 24 kileleni mmeanza kupiga makelele
Bado hamjasema , mpaka mseme.Kukaa masaa 24 kileleni mmeanza kupiga makelele
kmc aliyecheza na yanga ni yupi? Anatokea nchi gani?Umemfunga kmc wa aina Gani kwanza tuanzie hapo! Kama angekutana kmc aliyecheza na yanga na kmc aliyecheza na Simba wangepigana, ni vitu viwili tofauti!