Kuseti radio ya gari toka japan kuwiana na frequency za bongo

Kuseti radio ya gari toka japan kuwiana na frequency za bongo

Joined
Nov 11, 2010
Posts
76
Reaction score
54
Habarini wakuu ninagari nimenunua toka japani ina changamoto ya frequency kutokuwiana na za bongo.Mfano frequency za radio zinaanzia 76 mpaka 90 wakati za bongo nyingi zinaazia 80 mpaka 100 nakuendelea.Naomba mwenye utaalamu wa ku reset maana lugha ya kijapani chagamoto.Nawasilisha.
 
Habarini wakuu ninagari nimenunua toka japani ina changamoto ya frequency kutokuwiana na za bongo.Mfano frequency za radio zinaanzia 76 mpaka 90 wakati za bongo nyingi zinaazia 80 mpaka 100 nakuendelea.Naomba mwenye utaalamu wa ku reset maana lugha ya kijapani chagamoto.Nawasilisha.
Nunua radio nyingine tuu hiyo radio yako inauwezo mdogo
 
Nunua radio nyingine chief hapo utaambulia radio station si zaidi ya 5.
 
Habarini wakuu ninagari nimenunua toka japani ina changamoto ya frequency kutokuwiana na za bongo.Mfano frequency za radio zinaanzia 76 mpaka 90 wakati za bongo nyingi zinaazia 80 mpaka 100 nakuendelea.Naomba mwenye utaalamu wa ku reset maana lugha ya kijapani chagamoto.Nawasilisha.
Redio zinazokuja na gar ni za zamani ila kuna kifaa fundi wanakufungia na unapata frequency zote kama redio za kisasa kama upo Moshi nicall nikuelekeze kwa hao fundi
 
Habarini wakuu ninagari nimenunua toka japani ina changamoto ya frequency kutokuwiana na za bongo.Mfano frequency za radio zinaanzia 76 mpaka 90 wakati za bongo nyingi zinaazia 80 mpaka 100 nakuendelea.Naomba mwenye utaalamu wa ku reset maana lugha ya kijapani chagamoto.Nawasilisha.
Kuna kifaa kinaitwa band extender. Kiko madukani, nafikiri haizidi Sh 20,000 kununua na kukifunga. Changamoto yake ni kwamba namba zitasomeka hizo hizo za Japan ila itashika kwa frequency za Kibongo
 
Kuna kifaa kinaitwa band extender. Kiko madukani, nafikiri haizidi Sh 20,000 kununua na kukifunga. Changamoto yake ni kwamba namba zitasomeka hizo hizo za Japan ila itashika kwa frequency za Kibongo
Ahsante mkuu ngoja nijipange ninunue radio nyingine.....!!
 
Habarini wakuu ninagari nimenunua toka japani ina changamoto ya frequency kutokuwiana na za bongo.Mfano frequency za radio zinaanzia 76 mpaka 90 wakati za bongo nyingi zinaazia 80 mpaka 100 nakuendelea.Naomba mwenye utaalamu wa ku reset maana lugha ya kijapani chagamoto.Nawasilisha.
Mkuu andaa laki mbili ukafungiwe radio ambayo ni touch screen tena inamaliza frequency zote. nenda dick sound au pazi sound tabata segerea
 
Ila awa wajapan ni balaaa maana ata kubadil lugha inashindikana. Kaka fanya mpngo kanunue iyo extender
 
Ahsante mkuu ngoja nijipange ninunue radio nyingine.....!!
Mkuu unapoenda kununua radio nyingine hakikisha unanunua radio origional achana na hizi brand fekero za china mimi nilinunua sony origional kwa 180,0000 mwaka jana kuna jamaa yangu alinunua mchina na ilikuwa inacheza hata dvd ila baada ya muda mfupi imegoma kucheza hata cd!!!!
 
Mkuu andaa laki mbili ukafungiwe radio ambayo ni touch screen tena inamaliza frequency zote. nenda dick sound au pazi sound tabata segerea
6a968891e34778dd3fd7e4c806e5a9cb.jpg

Hyo touch screen yake ni HD kama hii?
 
Mkuu andaa laki mbili ukafungiwe radio ambayo ni touch screen tena inamaliza frequency zote. nenda dick sound au pazi sound tabata segerea
Mkuu ngoja nijipange....nashukuru kwa ushauri.Radio (brand)gani ni nzuri..
 
Back
Top Bottom