Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
usichokijua ni kuwa hiyo kura wenzako wanafanya mtaji, WANAUZA!!!!! nyie shangilieni hiyo kura ya siri kuwanufaisha wajumbe, eti mnajidanganya ikipigwa kura ya siri mipango ya ccm itakwama, THUBUTUUUUUU. IPIGWE KURA YA WAZI TUWAJUE WALIONUNULIWA NA WALE KUNGURU WA ZANZIBAR/waoga AMBAO HAWAWEZI(kwa woga au chochote kile) KUSIMAMIA MATAKWA YA WANANCHI WAO!!!!!wahukumiwe na kizazi cha sasa na vijavyo kwa udhaifu wao.....tusikubali kamwe kuwapa hifadhi wasaliti hawaMkuu ufafanuzi upi tena??!! Kura za wazi bungeni ni usanii tu,hivi kweli maslahi ya Taifa na vizazi vijavyo kuamliwa kwa kupiga kelele kama watu wapo kwenye kibanda cha gongo ni haki na best option kuliko zote??!!
Kwa busara ipi unasema waliopaza sauti kubwa wameshinda Ikiwa kuna mijitu ina sauti kubwa zaidi ya wengine waliosema Hapana na ni wengi??!! Iko wazi kuna mibunge inalalaga na kukurupuka tu na kugonga meza,kwenye kusema ndio pia si wapo??!!
Ikiwa kura ni suala la uchaguzi binafsi wa mtu na pia ni haki muhimu iliyo kwenye katiba,kwa nini CCM hamtaki kura hii ya siri??!! Wenyeviti wa bunge wanachaguliwa kwa siri,rasimu na vipengele vyake eti watu wapige mayowe,so pathetic,maza fanta!!!
hiv mtu anapojifanya kiziwi ilihali unamfaham cyo kiziwi utamwitaje ? ccm ndan ya chama wanapofanya chaguz hutumia kura za siri, iweje kwenye ishu ya katiba waseme kura ya waz ? wote ni nyambaf na wendawazm kwan wako kwa maslah yao na c ya taifahata mimi naunga mkono kura ya siri lakini lugha ya kuwaita wendawazimu wanaoshabikia kura ya wazi sio nzuri, jambo la msingi tujenge hoja ili wao pia waone uzuri wa kura ya siri.
teh...........teh.............teh........teh........haya ndugu yangu kama inasaidia kupunguza machungu uliyonayo kwa ccm basi angalao mara hiyo iwe ya mwisho.......teh.......teh.....hiv mtu anapojifanya kiziwi ilihali unamfaham cyo kiziwi utamwitaje ? ccm ndan ya chama wanapofanya chaguz hutumia kura za siri, iweje kwenye ishu ya katiba waseme kura ya waz ? wote ni nyambaf na wendawazm kwan wako kwa maslah yao na c ya taifa
wewe ni moderator nn mkuu?teh...........teh.............teh........teh........haya ndugu yangu kama inasaidia kupunguza machungu uliyonayo kwa ccm basi angalao mara hiyo iwe ya mwisho.......teh.......teh.....
hapana mimi ni mwanachama kama wewe, ila tu napenda sana lugha ya kidiplomasiawewe ni moderator nn mkuu?
hiy lugha cyo kali mbona ni ya kawaida tuu mkuu, kama ni kali bac ucjali ni katika kuonyeha msisitizohapana mimi ni mwanachama kama wewe, ila tu napenda sana lugha ya kidiplomasia
Naomba ufafanuzi wa jambo hili
hata mimi naunga mkono kura ya siri lakini lugha ya kuwaita wendawazimu wanaoshabikia kura ya wazi sio nzuri, jambo la msingi tujenge hoja ili wao pia waone uzuri wa kura ya siri.
usichokijua ni kuwa hiyo kura wenzako wanafanya mtaji, WANAUZA!!!!! nyie shangilieni hiyo kura ya siri kuwanufaisha wajumbe, eti mnajidanganya ikipigwa kura ya siri mipango ya ccm itakwama, THUBUTUUUUUU. IPIGWE KURA YA WAZI TUWAJUE WALIONUNULIWA NA WALE KUNGURU WA ZANZIBAR/waoga AMBAO HAWAWEZI(kwa woga au chochote kile) KUSIMAMIA MATAKWA YA WANANCHI WAO!!!!! wahukumiwe na kizazi cha sasa na vijavyo kwa udhaifu wao.....tusikubali kamwe kuwapa hifadhi wasaliti hawa