πππ heeee mbona ghafla sanaokeeeeeee.can I Mary you?
Chelsea kumrudisha Lampard ni aibu sana na kosa kubwa sana
Mimi ni fan wa the blues ila hii kichwa naipa salute,
eee wee unatakaje kwani?hujaenda chach kuomba miujiza kwani?π muujiza nimekujaπππ heeee mbona ghafla sana
Utopolo huu haijawahi tokea hii fursa angempa Pochetinompuuzi sana yule bilionea. Unampa mtu timu kubwa kama ile ajifunzie ukocha?? Ndo madhara ya kuuza timu haya. Sidhani kama kuna shabiki ataunga mkono hili jambo licha ya lampard kuwa legend pale chelsea.
Made in brasil ππMimi ni fan wa the blues ila hii kichwa naipa salute,
Man city watoe kwenye hilo kundi la wapuuziBado bwana enu city anangojewa
Nusu fainali ni Milan derbySema njia za chocho wanazopita "The Rossoneri" AC Milan ni hatari, wanakatiza hadi fainali kiutani utani tu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
I wish iwe hivi.Nusu fainali ni Milan derby
Ac Milan Vs Inter Milan
Uwanja mmoja majina mawili
Giuseppe meazza na San Siro hawa jamaa watauana
ππππMade in brasil ππ
Pole dada mwaya
What next? πππ
Yan msimu ujao inabidi mateam ya EPL yawe kivyake, na UEFA yawe kivyake. Siku zikikutana unabaki na team zako za UEFA.
BTW Chesii wako na UEFA.. hilo hilo litapostiwa kama TBT
Usiweze kisa nini? Team sio kabilaubaya huwezi hama timu,utaumia tu kimoyomoyo.
Usiweze kisa nini? Team sio kabila
Kuna muujiza apostleKimetokea Nini mkuu?