Kushambuliwa kwa Lissu, Sasa PEPO LUCIFER LINAWATAFUNA MaCCM na Watawala

Kushambuliwa kwa Lissu, Sasa PEPO LUCIFER LINAWATAFUNA MaCCM na Watawala

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2015
Posts
14,242
Reaction score
34,903
Mashambulizi ya Viongozi na MaCCM dhidi ya Tundu Lissu ni kiwewe cha wenye mapepo ya ukosefu wa hekima, busara na hofu ya kushindwa kwao kwa jaribio la dhuluma ya nafsi ya TUNDU LISSU.

Lissu survived miraculously, sasa wanaona mission yao imeanikwa juani. Wanaweweseka kwa maagizo ya watesi wa TUNDU ambao mioyo yao imejaa hofu, husuda na dhambi kuu ya uuaji.

Ukifuatilia matamko na kejeli za kila aina za MaCCM hawa unaona kabisa hawana 'subsatance' ya kile wanachojaribu kukitetea ili kuficha udhalimu uliokusudiwa dhidi ya Mwanaharakati, Mwanasiasa na Mwanasheria huyu nguli.

Aina yoyote ya majibu yao dhidi ya maelezo ya Lissu juu ya kushambuliwa kwake yanaonesha udhaifu,uzwazwa na ukengeufu mkubwa. Wengi wao wanajibu na kuzungumza kama washamba, lakini nyuso zao zinaonesha alama ya msongo na aibu kubwa kutokana na ukatili waliomfanyia Lissu.

Bila shaka LISSU kasimama, Mungu AMEKATAA kumchukua kabla hajatimiza maono yake na kuweza kuumbua utawala dhalimu uliokumbwa na ulafi wa nafsi za wakosoaji wake.

Watanzania wenzangu, Lissu aliumizwa sana ni mpango wa Mungu tu kusalia leo hii anapumua na kuendelea kusimama katika haki kama ilivyo tabia yake. Pamoja na tote haya napenda kuwakumbusha na kuwaomba kuwa anachopigania Lissu si vita yake binafsi bali utetezi wa haki za binadamu, haki zilizopo kikatiba, utetezi wa unyonyaji wa rasilimali zetu kwa wajanja wajinga hawa kujivika vilemba vya unafiki ati wanapigana na kupambana na ufisadi. Tusikubali upuuzi na ushamba wa washamba wenye ghiliba! Tuungane na TUNDU kudai haki zinazoporwa kwa kasi huku tukiona wazi.

They're naked and now they're trying to cover themselves with a transparent musk, they're still naked!!
 
Survived to tell the tale!Ma-CCM kila muda wametoa macho.kama wamekabwa na mapera kuangalia nyuzi za Lissu.Subiri utawaona.
 
Hamna kitu hapa..sisi tuko busy kufanya Kai tumsaidie Rais kujenga nchi..lissu na chadema mlishapitwa na wakati
 
Lissu ni kiumbe wa tofauti sana. Ukitafakari yaliyomkuta, akanusurika kifo na leo bado anasimama imara tena kutetea haki kwa nguvu ile ile, ni muujiza.
 
Dk moleli anaoushahidi wa chadema kuhusika huku lisu akijiumauma tu hajui nan anahisika hata ukimwambia aseme anabana inye tu
Amwahaupeleka polisi? Mwambie aende akafunge vidonda. Hospitalini
 
Yan ukiwa kama refa safi sana.

[emoji375][emoji375]
 
Imenikumbusha kwanini baba wa Taifa alilazimisha tusome pamoja na Watindiga na Watindiga waliletwa mashuleni kwanguvu kweli ilikuwa inamaana kubwa sana
 
Lissu ni kama messiah aliyesulubiwa msalabani lakini akafufuka na kuwafanya warumi wote kuwa wakristo.
 
Mashambulizi ya Viongozi na MaCCM dhidi ya Tundu Lissu ni kiwewe cha wenye mapepo ya ukosefu wa hekima, busara na hofu ya kushindwa kwao kwa jaribio la dhuluma ya nafsi ya TUNDU LISSU.

Lissu survived miraculously, sasa wanaona mission yao imeanikwa juani. Wanaweweseka kwa maagizo ya watesi wa TUNDU ambao mioyo yao imejaa hofu, husuda na dhambi kuu ya uuaji.

Ukifuatilia matamko na kejeli za kila aina za MaCCM hawa unaona kabisa hawana 'subsatance' ya kile wanachojaribu kukitetea ili kuficha udhalimu uliokusudiwa dhidi ya Mwanaharakati, Mwanasiasa na Mwanasheria huyu nguli.

Aina yoyote ya majibu yao dhidi ya maelezo ya Lissu juu ya kushambuliwa kwake yanaonesha udhaifu,uzwazwa na ukengeufu mkubwa. Wengi wao wanajibu na kuzungumza kama washamba, lakini nyuso zao zinaonesha alama ya msongo na aibu kubwa kutokana na ukatili waliomfanyia Lissu.

Bila shaka LISSU kasimama, Mungu AMEKATAA kumchukua kabla hajatimiza maono yake na kuweza kuumbua utawala dhalimu uliokumbwa na ulafi wa nafsi za wakosoaji wake.

Watanzania wenzangu, Lissu aliumizwa sana ni mpango wa Mungu tu kusalia leo hii anapumua na kuendelea kusimama katika haki kama ilivyo tabia yake. Pamoja na tote haya napenda kuwakumbusha na kuwaomba kuwa anachopigania Lissu si vita yake binafsi bali utetezi wa haki za binadamu, haki zilizopo kikatiba, utetezi wa unyonyaji wa rasilimali zetu kwa wajanja wajinga hawa kujivika vilemba vya unafiki ati wanapigana na kupambana na ufisadi. Tusikubali upuuzi na ushamba wa washamba wenye ghiliba! Tuungane na TUNDU kudai haki zinazoporwa kwa kasi huku tukiona wazi.

They're naked and now they're trying to cover themselves with a transparent musk, they're still naked!!
Hakika wako uchi!
 
Dk moleli anaoushahidi wa chadema kuhusika huku lisu akijiumauma tu hajui nan anahisika hata ukimwambia aseme anabana inye tu
atakwenda ICC kutoa ushahidi, time is very soon or later!
 
Dk moleli anaoushahidi wa chadema kuhusika huku lisu akijiumauma tu hajui nan anahisika hata ukimwambia aseme anabana inye tu
Huyu mwendawazimu Mole kauli yake inawahusu wendawazimu, siyo kwaajiji ya wazima.

Hata serikali haitaifanyia kazi kauli yake kwa vile wanajua kauli ya mwendawazimu huwa haifanyiwi kazi.

Nadhani Jiwe atakuwa anasikitikia hela iliyotumika kumnunua mtu ambaye kumbe alikuwa tayari amepatwa na uwendawazimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom