Kushamiri kwa wauza iPhone Tanzania, kulikoni?

Kushamiri kwa wauza iPhone Tanzania, kulikoni?

kzba

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2014
Posts
1,355
Reaction score
789
Weekend iliyopita nilikuwa nafanya research maeneo mbalimbali Jijini Dar es Salaam juu ya wauza simu za aina ya iPhone.

Nilichogundua wauzaji wengi ni matapeli hawana mitaji na ni madalali wa kutupwa, yaani ubabaishaji mwingi mara unahitaji simu wanakuambia mzigo upo store kumbe magumashi tupu, eti unaonyeshwa iPhone full box kumbe refublish na saa nyingine hata hiyo simu hakuna.

Tahadhali, usisubutu kununua simu za aina hiyo maeneo ya Sinza au Makumbusho na hata Kariakoo Mtaa wa Aggrey utatapeliwa.

Hao wote hawana simu za iPhone mpya ni wababaishaji tu.

You will thank me later.

Kzba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona kawaida. Hao hawapishani na gari la hela, ukihitaji kitu ambacho hana atakuambia anakifuata store kwa bei kubwa kuliko uhalisia ili apate nae cha juu
 
Weekend iliyopita nilikuwa nafanya research maeneo mbalimbali Jijini Dar es Salaam juu ya wauza simu za aina ya iPhone.

Nilichogundua wauzaji wengi ni matapeli hawana mitaji na ni madalali wa kutupwa, yaani ubabaishaji mwingi mara unahitaji simu wanakuambia mzigo upo store kumbe magumashi tupu, eti unaonyeshwa iPhone full box kumbe refublish na saa nyingine hata hiyo simu hakuna.

Tahadhali, usisubutu kununua simu za aina hiyo maeneo ya Sinza au Makumbusho na hata Kariakoo Mtaa wa Aggrey utatapeliwa.

Hao wote hawana simu za iPhone mpya ni wababaishaji tu.

You will thank me later.

Kzba

Sent using Jamii Forums mobile app
MKUU, BILA SHAKA WEWE UNA DUKA LA SIMU AINA YA ITEL NA VIWA MAENEO YA AGGREY!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom