Kushangilia England ni kama kubeba bata atakunyea muda wowote

Ligi ya Uingereza ni kama ya Bongo. Yaani ni ligi yenye mvuto kwa wachezaji walio wengi...

Lakini linapokuja suala la local players... bamna kitu.
 
Nlikuwa shabiki wa england kuanzia 2007 nijahamia germany

Na sjawahi kujutia uamuzi huo

Kwa timu za taifa hapo



Lakin ligi yao naangalia na naipenda ndo the most competative in the world
 
Mimi ni mshabiki wa England,naipenda Sana lakini nafasi yao ya kuchukua ubingwa haupo hata kidogo. Sijui ilikuaje mpaka nikaipenda ila nimeshindwaga kuhamia kwingineko
 
Mimi ni mshabiki wa England,naipenda Sana lakini nafasi yao ya kuchukua ubingwa haupo hata kidogo. Sijui ilikuaje mpaka nikaipenda ila nimeshindwaga kuhamia kwingineko
Wewe kama Mimi kwa England huniambii kitu
 
Azam mshikemshike leo wametwingiza mjini wateja wao kwa kutwambia ZBC wanonesha kumbe hamna cho chote...
 
Nilikuwa shabiki wa england kindakindaki!Lakini washanichoshaga longi sasa nimehamia tanzania bora taifa stars mara mia kuliko england!
 
Kipendacho roho... Sijawahi kuwa mshabikibwa hii timu hata kwa mikwaju, ila wanaoipenda nawapa hongera maana wote tusipoishangilia watashangiliwa na nani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…