ERIC JOSEPH
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 567
- 55
Mwezi uliopita tulienda hospitali ya mimi na mke wng kutokana na tatizo la kutopata mtoto mana sasa takilibani miaka 3.baada ya vipimo ndipo yeye alipo kundulika kuwa anamatatizo ya milija ya uzazi na amepangiwa upasuaji mwezi upasuaji mwezi ujao.upande wangu nikagundulika kuwa mbegu zangu za kiume hazina uwezo wa kusafili hapo doctar aliniambia kuna dawa japo hakuniambia ni dawa ipi.naomba ushauli wenu mana naumia sana kwa kutokuwa na mtoto japo moja.samahan kwa maneno mengi.naomba ushauli wenu