ERIC JOSEPH
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 567
- 55
Daktari gani anayetoa matibabu nusu? Muungwana Eric rudi mwone tena huyo mtaalam kwa sabau kiujumla kama maelezo yako ni ya kweli tatizo lako lina gusia swala la zima fertility quality kwa upande wako hii ikiwa ni pamoja na sperm quantity and sperm quality.
Ushauri wangu onana na wataalamu haswa wa maswala haya.
Nashukulu ni kweli sasa je hapo nikaombe dawa au kunaushauli wa ziadaNDG yng
kabla hujaomba dawa nadhani ni vizuri kujua nini hasa tatizo lako kwa maana ya wewe nawe kufanyiwa uchunguzi na vipimo kama mwenzako. dawa zije baada ya kubaini pasipo shaka kuwa nini hasa tatizo lako.
Narudi!!
narudi na machungwa tukamue juice tunywe tuburudike!na ushauri ama kutusalimia?
jf burudan sananarudi na machungwa tukamue juice tunywe tuburudike!