shaibu athuman kapara
Member
- Sep 2, 2016
- 7
- 3
Labda una genes za michepukohabari wakuu mwenzenu nina kitabia cha kushindwa kuludia tendo endapo demu nimezoeana nae kwa muda mlefu ila akiwa mgeni huweza kuludia ata mara 6 why inakuwa hivi
utakuwa unapiga punyeto sana, acha hiyo hali itakwisha, huyo demu wako utakuwa umemzoea sana kiasi kwamba unaona sio kitu tenaHabari wakuu mwenzenu nina kitabia cha kushindwa kuludia tendo endapo demu nimezoeana nae kwa muda mlefu ila akiwa mgeni huweza kuludia ata mara 6 why inakuwa hivi
We bayamaa kwny nyuzi za mapendo haujambo na hauko kukosaga kushaur upo vzur ila njoo umwambiake vzur huyo petty juu ya hyo Psychology hayuko kuyua vle nn unamaanshagaPsychology yako towards huyo mpenz wako
Hapo tatizo ni la kisaikolojia ya jinsi unavyomchukulia mwenza wako.Habari wakuu mwenzenu nina kitabia cha kushindwa kuludia tendo endapo demu nimezoeana nae kwa muda mlefu ila akiwa mgeni huweza kuludia ata mara 6 why inakuwa hivi