Kushindwa kutoa gari bandarini kwa wakati

jangala

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2014
Posts
1,583
Reaction score
2,365
Habari ndugu zangu. Naomba kufahamishwa kuhusu:

1. Muda wa kulipia clearance na ushuru bandarini tangu gari uliyoagiza nje iripoti.

2. Muda wa na adhabu endapo nitazidisha muda wa kulitoa gari bandarini.

Nawasilisha.
 
Kwakuwa sijui lolote kwenye tozo za Zakayo, labda tu nikupongeze kwa kuongeza idadi ya wanaume wa Jf wanao miliki magari.
Hongera sana mkuu...
 
Siku 7 tu baada ya hapo unaanza lipishwa kama $15 kwa siku na bandari kama gharama za kukuifadhia gari yako.

Ukizidi muda zaidi linapigwa mnada.
 
Siku 7 tu baada ya hapo unaanza lipishwa kama $15 kwa siku na bandari kama gharama za kukuifadhia gari yako.

Ukizidi muda zaidi linapigwa mnada.
Asante sana
 
Habari ndugu zangu. Naomba kufahamishwa kuhusu:

1. Muda wa kulipia clearance na ushuru bandarini tangu gari uliyoagiza nje iripoti.

2. Muda wa na adhabu endapo nitazidisha muda wa kulitoa gari bandarini.

Nawasilisha.
Kwa kuliona hili na mangine mengi, ndio sababu tulianzisha kampuni ya uagizaji Magari ili kuwarahishia ndugu zetu muagize magari bila stress. Ukiagiza nasi ushuru hautaongezeka hata 100, hutalipishwa gharama ya ziada nje ya CIF, Ushuru na gharama za bandari, hutapoteza mda wa kazi kwa kuhangaika na hizi process.

Kikubwa zaidi, ikitokea umekwama kupata kiasi cha kulipia ushuru, sisi Kimomwe Motors tuna utaratibu wa kumsapoti mteja. Mikataba ipo na unakaribishwa sana ututume

Piga 0746 267740 au fika ofisini kwetu Magomeni Mapipa
 
Mkuu nishaagiza gari tayari ila kuna dalili za kuchelewa kulipia cif na ushuru..... Adhabu naulizia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…