Kushiriki chakula na familia: Ushauri kutoka kwa Teamo


Nafasi yao iko wazi kuwa wao ni nambari wani: Kujitolea shea yangu ya msosi kwao.... Kama walikuwa wanakula finyango viwili vya nyama watakula vinne, yote kwa hisani ya baba.
 
yaani mkuu kuwahi jana kidogo tu na ukala dinner na familia basi ndo tabu yote hii
hahahaha!
mkuu mie nina karatiba fulani kakukaa na familia walau mara tatu kwa wiki.....trust me
 
Nafasi yao iko wazi kuwa wao ni nambari wani: Kujitolea shea yangu ya msosi kwao.... Kama walikuwa wanakula finyango viwili vya nyama watakula vinne, yote kwa hisani ya baba.
hahahaha!

i am sure wanahitaji zaidi UWEPO wako na si hizo nyama
 
yah!
unawezekana kabisa

at least kupunguza kazi za nje

KAZI ZA NJE zinakufanya uwe bize sana halaf ''for nothing'' kwakuwa in a long run WANAWAKE NI WALE WALE....!hakuna kitu kipya sana utakikuta huko nje

InteliJINSIA yangu inaniambia leo kuna mtu anatumia ID ya ndugu yetu TEAMO
 

Halafu wewe usijidai kuongea sana hapa pale baa mpya, kibila, sia, oceanic bay na kingstar huwa unatafuta nini kila siku??? Hiyo dinner unakula lini na mama g??? Acha kuongopea watu aakkkhhhh ushaniudhi kabisa
 

Masahihisho ya Hoja yatafanyika pale JJ kuanzia saa kumi na mbili leo jioni!

Kuna masuala mengi muhimu yamekuwa skipped!
 
yaani mkuu kuwahi jana kidogo tu na ukala dinner na familia basi ndo tabu yote hii

Hebu mwambie huyu jana kala wali maharage ya nazi imekuwa taabu kweli kweli siku zote tunashinda nae baa halafu leo analeta longolongo hapa
 
Huyo ataulizia nguo gani....achana na hii babu crap....

Babu si mchoyo...na wala si crap.

Wanaume waroho ndio wanawahi kurudi nyumbani kugombea wali na watoto wao, badala ya kukutana baa na wanaume wenzao kujadili mustakabali wa katiba mpya.
 
Halafu wewe usijidai kuongea sana hapa pale baa mpya, kibila, sia, oceanic bay na kingstar huwa unatafuta nini kila siku??? Hiyo dinner unakula lini na mama g??? Acha kuongopea watu aakkkhhhh ushaniudhi kabisa

Hii dozi ya Panadol alioitumia jana, leo tutashaa....khaa!
 
Halafu wewe usijidai kuongea sana hapa pale baa mpya, kibila, sia, oceanic bay na kingstar huwa unatafuta nini kila siku??? Hiyo dinner unakula lini na mama g??? Acha kuongopea watu aakkkhhhh ushaniudhi kabisa

Uzuri wa Teamo ni anafutailia sana mafundisho ya dini....hasa yanayosema 'fuateni maneno yangu na sio matendo yangu'
 
Uzuri wa Teamo ni anafutailia sana mafundisho ya dini....hasa yanayosema 'fuateni maneno yangu na sio matendo yangu'

Ahaaaaaa! Nachokupendea una kipaji cha utambuzi!
 
Halafu wewe usijidai kuongea sana hapa pale baa mpya, kibila, sia, oceanic bay na kingstar huwa unatafuta nini kila siku??? Hiyo dinner unakula lini na mama g??? Acha kuongopea watu aakkkhhhh ushaniudhi kabisa
jamani jamani mbona mnapingana na ukweli?
 
Masahihisho ya Hoja yatafanyika pale JJ kuanzia saa kumi na mbili leo jioni!

Kuna masuala mengi muhimu yamekuwa skipped!


Tena mumsahihishe vizuri huyu jamaa maana anataka kuleta longolongo hapa jana kawahi home imekuwa issue
 
InteliJINSIA yangu inaniambia leo kuna mtu anatumia ID ya ndugu yetu TEAMO
hahahaha!

vijana hamtaki kumwamini mfalme wa AMANI
 
Hebu mwambie huyu jana kala wali maharage ya nazi imekuwa taabu kweli kweli siku zote tunashinda nae baa halafu leo analeta longolongo hapa
DENA ni lazima uwe mpinzani wangu mkuu

I WILL REST MY CASE anyway
 
hahahaha!

vijana hamtaki kumwamini mfalme wa AMANI

Ili tukuamini, yatupasa tukutane leo tujadili! Sababu nyingine ya kutokula wali na watoto leo usiku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…