kamikaze tz
JF-Expert Member
- Apr 29, 2017
- 232
- 174
Una uza bei gani mbao za 1*6 mm ni mnunuzi sana wa hizo mbao.. Kama bei yako ipo poa naimani tutafanya sana biashara..pia naweza kukuulizia kwa bosi wengine wanao taka mbao za kupaua nicheki kwa namba hii 0754660061Habari zenu wakuu
Kama hapo juu panavyojieleza, mimi ni mfanyabiashara wa mbao kutoa mafinga kupeleka dar es salaam, nahitaji mtu wakushirikiana nae mwenye ujuzi wa kutafuta masoko, hata kama yeye hana mtaji wa pesa, kwani mtaji wake yeye ni kutafuta masoko. Na ninakampuni imesajiliwa. Alietayari aje PM wakuu tushirikiane kusukuma maisha