Kushonea nywele kichwani: Wengine huwa zinawakataa kabisa

Kushonea nywele kichwani: Wengine huwa zinawakataa kabisa

FRANCIS DA DON

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2013
Posts
38,920
Reaction score
44,970
Kuna baadhi ya wanawake huwa wanatoka chicha tu wanaposukia nywele za bandia kichwani, infact huwa wanaonekana quite natural tu.

Sasa kuna wale ambao huwa wanazishonea hovyo hovyo kiasi kwamba ukiangalia unaona kabisa kuna likitu limebandikwa hapo kichwani, to make matters worse anabandika mikope mirefu ajabu,

Halafu anachonga nyusi kama paka sijui, alafu anapakaa mi-shadow hapo machoni kama jini, kama haitoshi anapakaa lipstick utasema vampire ametoka kunywa damu.

Jamani, namna hiyo mtu unakuwa kama jini kabisa, infact people could mistake u for a prostitute, embu tuwe makini na hili.
Mwenye picha tafadhali atuwekee.
 
Mkuuu uko sAhihi mimi biNafsi napendelea mwanamke asiye complicatE mamBoo yaAni uRemBo uKizIdi iNakUwa ni KerOo hAsWaa.
mWaNAmKe AnAvuTia pale AnaPokUwa nAtUral bIla maNywele baNdia na maKeUp.
LAdiEs we lIke You NatUral kuWeki kiAsiLi zaidI jAmEenIi.
 
Mkuuu uko sAhihi mimi biNafsi napendelea mwanamke asiye complicatE mamBoo yaAni uRemBo uKizIdi iNakUwa ni KerOo hAsWaa.
mWaNAmKe AnAvuTia pale AnaPokUwa nAtUral bIla maNywele baNdia na maKeUp.
LAdiEs we lIke You NatUral kuWeki kiAsiLi zaidI jAmEenIi.
Ni kweli, ila ni ngumu sana kuwashawishi.., mbaya ukute yule ambae on top of all of this, amejichubua mwili wote! utakimbia...!
 
Ni kweli, ila ni ngumu sana kuwashawishi.., mbaya ukute yule ambae on top of all of this, amejichubua mwili wote! utakimbia...!


HAlaFu waNaKuWa AdDicted yAanI haTa uKimWamBia aSiweKe haYo mAbaNdia MkItokA anaKua ajiAmini coZ urRembo wA namNa hiyO umeShawafanYa kuWa maTeja. MimI nsHamKataza waNgu sItAki kUona NyWele waLa MaKeup zisizokua Na Tija aKiwa na Mimi.
 
hii.jpg
 
Mie hapa job nina mwaka na zaidi ila kuna huyo dada sijawahi kuona nywele yake ye ni bandika bandua weaving tena yale marefu
 
Mi badala ya kuwasalimia nawaogopa nahic nimekutana na jini hata kama church
 
kweli kbsa wanawake jilembeni kidogo basi kwani urembo ukizidi unaboa
 
wananiboa zaidi wale wenye macho ya kijivu kama ya paka
 
vipi kuhusu kusikia rasta za kawaida tu??,

je vipi tunyoe tu?????
 
I am sorry kama nitawaudhi wengine ila hua sipendi mwanamke mwenye Wigi au hizo nywele za kushonea. Naona kama ni uchafu hivi. Kweli siwezi kuvumilia...
 
That's how they like to express themselves. Wenye natural sawa wenye mabandia pia ni sawa. Being a Woman ain't easy
 
Back
Top Bottom