kushuka au kupanda kwa kiwango cha elimu nchini

marko maluli

Senior Member
Joined
Mar 14, 2015
Posts
164
Reaction score
49
je kupanga matokeo ya shule za sekondari ktk mfumo wa GPA ni kupanda au kushuka kwa kiwango cha elimu nchini
 
gpa inaonesha utofauti kati ya ufaulu wa mwanfunzi… mwenye 1:14 ya Bflat anakuwa tofaut na yule mwenye 1:14 yenye A ndani yake… .kwaiyo kaz ni kukoktoa division tu hakuna kupnd wal kushuk kwa elimu….. yote sawa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…