Kushuka kwa Yanga kunaifanya Msimbazi kuonekane kumenyooka, Ila kiuhalisia hamna timu pale

Kushuka kwa Yanga kunaifanya Msimbazi kuonekane kumenyooka, Ila kiuhalisia hamna timu pale

MwananchiOG

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2023
Posts
1,970
Reaction score
4,037
Huwa siangalii sana michezo ya timu za shirikisho, Ila baada ya kuwa nimeketi sehemu nikipata kinywaji nikaona watu wakitazama mpira wa Simba hivyo kwakuwa nilikuwa nimeketi na TV ikiwa mbele yangu, Hivyo nikajikuta nalazimika kutazama.

Baada ya kutazama mchezo huo nimegundua mambo machache, Kwanza ukiacha ubovu wa timu za shirikisho, Simba hakuna timu, Mpira unaochezwa bado ni wa kiwango cha chini mno! Si bure inashiriki shirikisho na timu zisizofahamika Afrika.

Kusua sua kwa Yanga, kunaifanya Simba ionekane inacheza mpira mkubwa ila kiuhalisia bado sana!. Ushindi unapatikana ila zaidi ya 80% ya magoli yanayopatikana Simba ni kwa njia ya penalty,

Hao mastriker sijui Ateba sijui Ahueni kazi yao ni kusubiri penalty, Wamekuwa mastriker wa Penalty. Mchezo wa leo, mchezo vs Pamba, vs Dodoma nk.

Strikers wote wenye magoli, magoli yaliyopatikana zaidi ya 80% ni magoli ya Penalty za kubahatisha. Ila magoli ya kutengeneza nafasi na kufunga ni machache mno!

Sipati picha ingekuwa inashiriki Club bingwa! 😀
 
Huwa siangalii sana michezo ya timu za shirikisho, Ila baada ya kuwa nimeketi sehemu nikipata kinywaji nikaona watu wakitazama mpira wa 5imba hivyo kwakuwa nilikuwa nimeketi na TV ikiwa mbele yangu, Hivyo nikajikuta nalazimika kutazama. Baada ya kutazama mchezo huo nimegundua mambo machache, Kwanza ukiacha ubovu wa timu za shirikisho, 5imba hakuna timu, Mpira unaochezwa bado ni wa kiwango cha chini mno! Si bure inashiriki shirikisho na timu zisizofahamika Afrika.

Kusua sua kwa Yanga, kunaifanya 5imba ionekane inacheza mpira mkubwa ila kiuhalisia bado sana!. Ushindi unapatikana ila zaidi ya 80% ya magoli yanayopatikana 5imba ni kwa njia ya penalty, Hao mastriker sijui Ataiba sijui Ahueni kazi yao ni kusubiri penalty, Wamekuwa mastriker wa Penalty. Mchezo wa leo, mchezo vs Pamba, vs Dodoma nk. Strikers wote wenye magoli, magoli yaliyopatikana zaidi ya 80% ni magoli ya Penalty za kubahatisha. Ila magoli ya kutengeneza nafasi na kufunga ni machache mno!

Sipati picha ingekuwa inashiriki Club bingwa! 😀
Mimi ni mwana simba na nakiri wazi ulichokiandika,simba bado hamna timu pale.
 
Huwa siangalii sana michezo ya timu za shirikisho, Ila baada ya kuwa nimeketi sehemu nikipata kinywaji nikaona watu wakitazama mpira wa Simba hivyo kwakuwa nilikuwa nimeketi na TV ikiwa mbele yangu, Hivyo nikajikuta nalazimika kutazama.

Baada ya kutazama mchezo huo nimegundua mambo machache, Kwanza ukiacha ubovu wa timu za shirikisho, Simba hakuna timu, Mpira unaochezwa bado ni wa kiwango cha chini mno! Si bure inashiriki shirikisho na timu zisizofahamika Afrika.

Kusua sua kwa Yanga, kunaifanya Simba ionekane inacheza mpira mkubwa ila kiuhalisia bado sana!. Ushindi unapatikana ila zaidi ya 80% ya magoli yanayopatikana Simba ni kwa njia ya penalty,

Hao mastriker sijui Ateba sijui Ahueni kazi yao ni kusubiri penalty, Wamekuwa mastriker wa Penalty. Mchezo wa leo, mchezo vs Pamba, vs Dodoma nk.

Strikers wote wenye magoli, magoli yaliyopatikana zaidi ya 80% ni magoli ya Penalty za kubahatisha. Ila magoli ya kutengeneza nafasi na kufunga ni machache mno!

Sipati picha ingekuwa inashiriki Club bingwa! 😀
Awa Simba waombe mungu yanga iendelee kukosa matokeo vinginevyo yanga akirudi kwenye ubora wake watachapana makonde awa,,wanafuraha kwakuwa yanga amepitiwa na upepo mbaya lakini Awana timu na aina yao ya uchezaji ni ovyo kabisa hili awawezi kuliona kwa sasa wamepofushwa na matokeo ya yanga,,we subilia yanga ashinde mechi ya kwanza tu itakuwa ndio starting point ya kurudisha morali na hali ya ushindi!
 
Awa Simba waombe mungu yanga iendelee kukosa matokeo vinginevyo yanga akirudi kwenye ubora wake watachapana makonde awa,,wanafuraha kwakuwa yanga amepitiwa na upepo mbaya lakini Awana timu na aina yao ya uchezaji ni ovyo kabisa hili awawezi kuliona kwa sasa wamepofushwa na matokeo ya yanga,,we subilia yanga ashinde mechi ya kwanza tu itakuwa ndio starting point ya kurudisha morali na hali ya ushindi!
Hakika aliyewaita utopolo alitafakari mbali sana
 
Ukiwaambia wanapata jazba, panick, macho yanawatoka. Ni kweli Yanga iko vibaya ila Simba pia wajiangalie kwa mwendo huu sijui.
 
Huwa siangalii sana michezo ya timu za shirikisho, Ila baada ya kuwa nimeketi sehemu nikipata kinywaji nikaona watu wakitazama mpira wa Simba hivyo kwakuwa nilikuwa nimeketi na TV ikiwa mbele yangu, Hivyo nikajikuta nalazimika kutazama.

Baada ya kutazama mchezo huo nimegundua mambo machache, Kwanza ukiacha ubovu wa timu za shirikisho, Simba hakuna timu, Mpira unaochezwa bado ni wa kiwango cha chini mno! Si bure inashiriki shirikisho na timu zisizofahamika Afrika.

Kusua sua kwa Yanga, kunaifanya Simba ionekane inacheza mpira mkubwa ila kiuhalisia bado sana!. Ushindi unapatikana ila zaidi ya 80% ya magoli yanayopatikana Simba ni kwa njia ya penalty,

Hao mastriker sijui Ateba sijui Ahueni kazi yao ni kusubiri penalty, Wamekuwa mastriker wa Penalty. Mchezo wa leo, mchezo vs Pamba, vs Dodoma nk.

Strikers wote wenye magoli, magoli yaliyopatikana zaidi ya 80% ni magoli ya Penalty za kubahatisha. Ila magoli ya kutengeneza nafasi na kufunga ni machache mno!

Sipati picha ingekuwa inashiriki Club bingwa! 😀
Labani og bwana😂😂😂
 
Napenda sana watu au wachambuzi ambao wamenyooka kama mtoa post.
Watu wa hii ni wachache sana.
Wengi wanaendeshwa na matukio

Hata mimi honestly naungana nae.
SIMBA hii kiuhalisia bado sana tena sana.

Kiwango cha juu cha mara ya mwisho cha Simba ni 2023.....Simba vs Al ahly 2-2 Dsm, Simba vs Al ahly 0-1 Dsm, Simba vs Esperance 2-0 (Onana)

Baada ya hapo ikaporomoka kiuchezaji hadi leo..

Matusi, kelele, maneno yasiyoisha ya mashabiki yakawatoa viongozi kwny reli..

Wakasajiri timu mpya kwa 85%
Ambapo wachezaji 7-8 wa first eleven ni WAPYA akiwemo kocha.

Kipimo sahihi kwa Simba kama imepaa au imeporomoka sio mechi za KenGold au Dodoma Jiji..ni wale African Giants.
Ipo siku watajua ukweli huu.

Makosa haya haya naona pi Yanga inaelekea kuyafanya..

Kupoteza utulivu klabuni kwasababu ya presha ya mashabiki...

Mbona kocha Nabi alitolewa tena raundi ya awali na River United kwa kupigwa nje ndani...mashabiki walibaki watulivu.

Msimu uliofata Yanga akapigwa tena na hawahawa Al Hilal nje ndani...washabiki waliendelea kuwa watulivu.

Hata Baadaye alipohamishiwa confederation, Yanga alitoa sare tasa Dar na Club Africain..
Leo utulivu unashindikana nini.
 
Mnaforce tufanane....
Poleni sana hata Alhly kwny hiz hatua labda akutane na kibonde mpauko kama utopolo ndo atajipigia za kutosha..ila akutane na timu zimejiandaa huwa anatoka droo au goli moja..sasa nyie hata droo tuu mechi 3 mfululizo mmepigwaa..unajifutia machungu kwa uchambuzi wa kikuda...hahaaa poleni sana...
 
Back
Top Bottom