Kushuka Thamani Shilingi: Sasa Benki zichunguzwe

Ozzie

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2007
Posts
3,217
Reaction score
1,261
Ukiacha sababu nyingi zinazotajwa kuchangia kushuka kwa thamani ya shilingi ya kitanzania; baadhi ya watu, akiwamo Zitto Kabwe walizungumzia ushiriki wa benki za kigeni, katika kushusha thamani shilingi yetu. Ni wakati muafaka wa hili kuchunguzwa, na pale penye kosa benki husika zilipe hasara.

Zitto Kabwe aliandika hivi kwenye blog yake:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…