kushuka umaarufu wa bongo fleva vs bongo movie

ZE NDINDINDI

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2016
Posts
1,885
Reaction score
4,012
leo kulikuwa na fainali ya sport pesa cup na mechi ya utangulizi ilikuwa kati ya bongo fleva na bongo movie
Duh mbona wabongo hata hawaiongelei kabisa? nini shida ya kuwachoka hawa jamaa???maana zamamni kama miaka 4 iliyopita mechi zao zilikuwa na mvuto bana
 
Mkuu bora hata hiyo mechi haikutangazwa kwamba itakuwepo ingesababisha wengi walioenda kwa game ya fainali ya Spoti Pesa wasiingie uwanjani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…