Mara ngapi?........E bwana sidanganyi siwezi kumbuka....Nna zaidi ya miaka kumi na huyu mrembo.
Ila mara ya mwisho ilikuwa leo asubuhi alivyoniambia ananitakia kazi njema.
Wanasema Ahsante ni neno rahisi kutamka lakini kwa wengi mdomo huwa mzito kulitamka.............wakati tumeagizwa TUSHUKURU KWA KILA JAMBO.Hongera babu wengine kazi yetu kulalamika tuuuuuuuuuu,shukrani hakuna bwana.
Binadamu walio wengi hawana shukrani. na mara kwa mara huwa wepesi kulaumu kuliko kushukuru kwa hiyo ni mambo ambayo tunatakiwa kama binadamu tuwe na hali ya kushukuru na kusamehe pia. Na kwa kuwa ni ngumu sana kumshukuru binadamu mwenzio unaemuona basi ugumu unakuwa mkubwa zaidi kumshukuru Mungu ambaye humuoni, ni wa ki imani zaidi. Tunahitaji reheme na neema ya mungu kuyajua yote hayo.Habari zenu wandugu,
Kuna jambo nimekuwa nikitafakari kwa muda sasa baada ya kuona mara nyingi tumekuwa wepesi wa kulalamika na kulaumu kila wakati huku neno shukrani likiwa mbali na midomo yetu. Je ni kweli hata wale waliokukosea sana kwenye maisha yako awe mume/mke ,rafiki ,kingasti,jirani,mzazi hana jema hata moja alilotenda kwenye maisha yako ambalo linahitaji shukrani.
Je ni mara ngapi tumekuwa tukishukuru kwa yale ambayo Mungu ametubariki nayo kwenye maisha yetu?
Napenda kuwashukuru marafiki wote wa MMU kwa kutengeneza na kubadili mtazamo wangu kwenye suala zima la mahusiano .
MMENITOA MBALI MUNGU AWABARIKI.
Mara ngapi?........E bwana sidanganyi siwezi kumbuka....Nna zaidi ya miaka kumi na huyu mrembo.
Ila mara ya mwisho ilikuwa leo asubuhi alivyoniambia ananitakia kazi njema.
Wanasema Ahsante ni neno rahisi kutamka lakini kwa wengi mdomo huwa mzito kulitamka.............wakati tumeagizwa TUSHUKURU KWA KILA JAMBO.
Binadamu walio wengi hawana shukrani. na mara kwa mara huwa wepesi kulaumu kuliko kushukuru kwa hiyo ni mambo ambayo tunatakiwa kama binadamu tuwe na hali ya kushukuru na kusamehe pia. Na kwa kuwa ni ngumu sana kumshukuru binadamu mwenzio unaemuona basi ugumu unakuwa mkubwa zaidi kumshukuru Mungu ambaye humuoni, ni wa ki imani zaidi. Tunahitaji reheme na neema ya mungu kuyajua yote hayo.
Habari zenu wandugu,
Kuna jambo nimekuwa nikitafakari kwa muda sasa baada ya kuona mara nyingi tumekuwa wepesi wa kulalamika na kulaumu kila wakati huku neno shukrani likiwa mbali na midomo yetu. Je ni kweli hata wale waliokukosea sana kwenye maisha yako awe mume/mke ,rafiki ,kingasti,jirani,mzazi hana jema hata moja alilotenda kwenye maisha yako ambalo linahitaji shukrani.
Je ni mara ngapi tumekuwa tukishukuru kwa yale ambayo Mungu ametubariki nayo kwenye maisha yetu?
Napenda kuwashukuru marafiki wote wa MMU kwa kutengeneza na kubadili mtazamo wangu kwenye suala zima la mahusiano .
MMENITOA MBALI MUNGU AWABARIKI.
Habari zenu wandugu,
Kuna jambo nimekuwa nikitafakari kwa muda sasa baada ya kuona mara nyingi tumekuwa wepesi wa kulalamika na kulaumu kila wakati huku neno shukrani likiwa mbali na midomo yetu. Je ni kweli hata wale waliokukosea sana kwenye maisha yako awe mume/mke ,rafiki ,kingasti,jirani,mzazi hana jema hata moja alilotenda kwenye maisha yako ambalo linahitaji shukrani.
Je ni mara ngapi tumekuwa tukishukuru kwa yale ambayo Mungu ametubariki nayo kwenye maisha yetu?
Napenda kuwashukuru marafiki wote wa MMU kwa kutengeneza na kubadili mtazamo wangu kwenye suala zima la mahusiano .
MMENITOA MBALI MUNGU AWABARIKI.
Nyumba hujengwa kwa hekima,na kuimarishwa kwa busara.Kwa maarifa vyumba vyake hujazwa vitu vya thamani na vya kupendeza(mithali 24:3-4).
Ubarikiwe Chauro kutukumbusha kuhusu neno muhimu katika maisha. ASANTE kwako na wanaMMU wote. Mbarikiwe
asante pia Keren kwa Signature yako Murua.....uko salama lakini my dear?