Mlenge
R I P
- Oct 31, 2006
- 2,125
- 2,306
Kushusha Sukari Kienyeji
Pole kwa wote wanaosumbuliwa na sukari iliyozidi kwenye damu (kisukari).
Nimepata kusikia kwa watu fulani wakisimulia walivyofanikiwa kushusha sukari kwa haraka na kwa mafanikio. Kabla ya kueleza zaidi, tafadhali zingatia yafuatayo:
1. Mimi siyo daktari wa tiba za kisasa wala za kizamani za binadamu, hivyo usichukulie haya kama ushauri wa tiba.
2. Hakikisha unafikia mashine ya kujipima wingi wa sukari kwenye damu, kwani mbinu tajwa huweza kushusha sukari.
3. Endapo utaamua kujaribu mbinu hii, utafanya hivyo kwa hatari/hasara yako mwenyewe (at your own risk).
4. Ukipenda, leta mrejesho hadharani, endapo utatumia mbinu tajwa.
MBINU
1. Pima wingi wa sukari mwilini. Fanya yafuatayo, iwapo sukari ni kiwango kikubwa kuliko inavyotakiwa.
2.Chukua mchicha kiasi fulani (fungu moja hivi). Usafishe kwa maji safi.
3. Saga mchicha (tumia mashine - blender - au twanga mchicha kwenye kiuri).
4. Kunywa kimiminika kitokeacho, kikombe kimoja.
5. Jipime kiwango cha sukari mwilini.
Kama hii inasaidia kweli, basi kila la kheri.
Edit 1: Uzi umepokea posti za wanaodai wana tiba mbadala za kisukari. Sihusiki nao.
Edit 2: Matokeo zaidi yanaweza kupatikana kwa kula nyama, samaki na mboga za majani pekee kwa siku mbili au tatu kama nyongeza.
Edit 3: Piga kura hapo juu kushea uzoefu wako.
Pole kwa wote wanaosumbuliwa na sukari iliyozidi kwenye damu (kisukari).
Nimepata kusikia kwa watu fulani wakisimulia walivyofanikiwa kushusha sukari kwa haraka na kwa mafanikio. Kabla ya kueleza zaidi, tafadhali zingatia yafuatayo:
1. Mimi siyo daktari wa tiba za kisasa wala za kizamani za binadamu, hivyo usichukulie haya kama ushauri wa tiba.
2. Hakikisha unafikia mashine ya kujipima wingi wa sukari kwenye damu, kwani mbinu tajwa huweza kushusha sukari.
3. Endapo utaamua kujaribu mbinu hii, utafanya hivyo kwa hatari/hasara yako mwenyewe (at your own risk).
4. Ukipenda, leta mrejesho hadharani, endapo utatumia mbinu tajwa.
MBINU
1. Pima wingi wa sukari mwilini. Fanya yafuatayo, iwapo sukari ni kiwango kikubwa kuliko inavyotakiwa.
2.Chukua mchicha kiasi fulani (fungu moja hivi). Usafishe kwa maji safi.
3. Saga mchicha (tumia mashine - blender - au twanga mchicha kwenye kiuri).
4. Kunywa kimiminika kitokeacho, kikombe kimoja.
5. Jipime kiwango cha sukari mwilini.
Kama hii inasaidia kweli, basi kila la kheri.
Edit 1: Uzi umepokea posti za wanaodai wana tiba mbadala za kisukari. Sihusiki nao.
Edit 2: Matokeo zaidi yanaweza kupatikana kwa kula nyama, samaki na mboga za majani pekee kwa siku mbili au tatu kama nyongeza.
Edit 3: Piga kura hapo juu kushea uzoefu wako.