Kushushwa jukwaani kwa msanii akiwa anatumbuiza

Kushushwa jukwaani kwa msanii akiwa anatumbuiza

Didododi

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2023
Posts
347
Reaction score
465
Ni vipi wandugu,niende moja kwa Moja kwenye mada.Juzi kati tumeshuhudia msanii akishushwa jukwaani punde tu baada ya kuanza kuiburudisha hadhira yake.Hili linaleta taswira flani yenye sintofahamu .Cha kujiuliza ni kwamba Je msanii aweza akawa amewakwaza hadhira au hadhira wamejawa tu na stress wakaamua kukinukisha ?
 
Back
Top Bottom