Kusifiwa na mwanaume mwingine nako kubaya?

Ukijiweka Ki-Malaya,tutakuchukulia Ki-Malaya.
PERIOD.
Mtu hawezi kusifia asichokiona,sasa kama wee umeona ni ustaarabu kuvaa nguo inayoonyesha chuchu zako n.k alafu ukapiga na picha basi unapost mtandaoni na sisi tunasifia tunachokiona...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo mwamume ni mshamba sana. Je, akikuta un@tOmBw@ live si atajinyonga? Wanaume wa Dar ni watu wa ajabu sana I see!
 
Mwanaume sio mpenzi wako anakuambiaje my love umependeza? Humfaham hakufaham utani wa hivi lazima mpenzio awake
Pia kuna hii tabia mbovu sana ya wanawake. Yoyote anayemuomba urafiki yeye anakubali ili mradi wawe wengi. Hivi unakuaje na marafiki 3000 account ya kawaida? Kwa wale socialites wanakuwa na private accounts na za public (ya mafans)! Ya private unakuta marafiki hawazidi hata 200. Ndio mfano hapa. Hawafahamu ila wako ktk list ya marafiki zake.
 
Mkuu mwache mkeo asifiwe tu kwani tatizo liko wapi? Na isitoshe baadhi ya watu wanaocomment wako mabara mengine. Wasiwasi wa nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha! Mkuu unashangaza sana. Kwani tako au chuchu huwezi kuziona zikichomoza ndani ya blouse? Lazima ziwe hadhrani ndipo uzione? Mkuu umetisha!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuaccept request ya mtu, sio tatizo tatizo linakuua vile mtu anaamua kubehave kwenye mitandao, iliwah nitokea nakumbuka mtu anakutumia msg uko wapi mrembo, sjui mambo vipi, za wapi, nakaaga kimya tu najib msg ya mtu nnaemjua
 
Kuaccept request ya mtu, sio tatizo tatizo linakuua vile mtu anaamua kubehave kwenye mitandao, iliwah nitokea nakumbuka mtu anakutumia msg uko wapi mrembo, sjui mambo vipi, za wapi, nakaaga kimya tu najib msg ya mtu nnaemjua
Kwa nini uaccept request ya mtu humjui?
 
Hahaha kwan ye alivoomba alikua ananjua??
Hahahaaa.
Mwanaume anatafuta yoyote wa kutongoza. Nina uhakika mwanaume aliomba urafiki akitumia zaidi akili za kichwa cha chini. Wao ndio wawindwaji wakae chonjo.
 
Jamani chuchu kuonekana sio lazima ziwe uchi,zinaonekana tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaaa.
Mwanaume anatafuta yoyote wa kutongoza. Nina uhakika mwanaume aliomba urafiki akitumia zaidi akili za kichwa cha chini. Wao ndio wawindwaji wakae chonjo.
Hahahha ujue ukiamua kua na msimamo kila kitu kinawezekana, sawa ameniomba urafiki mekubali kanitongoza nimekataa kala block maisha yanakwenda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…