Mkuu the Boss.
Viongizi wengi wa Africa ni Wapumbavu.
Hakuna kitu kinachoniuma sana kama raia kwenda kupiga kura kumbe viongozi wameamua kudharau matakwa ya wananchi kwa mtu ambaye tulimpigia kura na kumpa ushindi kwa wanao mtaka wao.
Mfano JIWE ALITOA KAULI YA KIPUMBAVU SANA ALISEMA
"Mkurugenzi nimekuteua mimi
Nimekupa kazi mimi.
Nakupa Mshahara.
Nakupa Gari.
Nakupa Nyumna.
Nakupa posho.
Alafu bado unakwenda kumtangaza Mpinzani kashinda".
KAULI YA KIDIKTETA YA KULAANIWA NA DUNIA INAHATARISHA HAKI NA AMANI YETU.
MSHAMBA SANA HUYU MZEE