Kusingekuwa na muda (time), binadamu tusingekuwa wavivu

Kusingekuwa na muda (time), binadamu tusingekuwa wavivu

issa ramadhani

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2014
Posts
1,319
Reaction score
260
Kusingekuwa na majina ya siku binadamu asingewaza kupumzika weekend. Kusingekuwa na miezi binadamu asingewaza likizo. Kusingekuwa na tarehe binadamu asingewaza sikukuu atapumzikaje. Kusingekuwa na masaa binadamu asingewaza masaa ya kupumzika au kutoka kazini.

Wewe waonaje kwa hili?
 
Ndio maana dunia ina mwenyewe bila kuwa ba mwenyewe fikiri tena ingekuwajee
 
Back
Top Bottom