Kusini korosho imeitika kilo 4000 na Mbinga huku kahawa watu watapiga hela vibaya mno

Kusini korosho imeitika kilo 4000 na Mbinga huku kahawa watu watapiga hela vibaya mno

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Kusini mwaka wetu wa kuchekelea ndo huu biashara zitasimama bei ya kilo ya korosho ni 4000 ndo habari ya dunia kwa sasa.

Achana na wamakonde kuwanywesha soda mbuzi..huko Mbinga nako kahawa safi sana watu wanaenda na visado bar wananunua bia wanawekewa kwenye ndoo wanakunywa kama pombe za kienyeji.

Kama una biashara zako huu ndo msimu wenyewe usipopata hela mwaka huu utakuja kupata lini tena, kaa kijanja.
 
Wamachinga ni watu wenye bahati sana.
Hela zitatumilaje ndio mtihani. Wale wanaosemaga watu wa kusini wavivu wanaumbuka sasa.
 
Ole wenu msiponichagua Mimi... Nitashusha Tena Bei ya mazao Hadi mchanganyikiwe. Wenzenu mkoa x mwaka huu wamechoma Sana mkaa wa mikorosho, sasaivi akili ndo inawajia!
 
Kusini mwaka wetu wa kuchekelea ndo huu biashara zitasimama bei ya kilo ya korosho ni 4000 ndo habari ya dunia kwa sasa.

Achana na wamakonde kuwanywesha soda mbuzi..huko Mbinga nako kahawa safi sana watu wanaenda na visado bar wananunua bia wanawekewa kwenye ndoo wanakunywa kama pombe za kienyeji.

Kama una biashara zako huu ndo msimu wenyewe usipopata hela mwaka huu utakuja kupata lini tena, kaa kijanja
BEi ya kisiasa,sahivi wahuni wameanza kupunguza bei kila mnada inashuka.
 
Sijawahi kupata sababu ya kunishawishi kulima.

Ukulima huwa naona ni kupoteza muda tu.

Mtu analima pamba miaka nenda rudi yuko pale pale.

Nimeona wakulima wa kahawa kagera hivyo hivyo.
 
Kusini mwaka wetu wa kuchekelea ndo huu biashara zitasimama bei ya kilo ya korosho ni 4000 ndo habari ya dunia kwa sasa.

Achana na wamakonde kuwanywesha soda mbuzi..huko Mbinga nako kahawa safi sana watu wanaenda na visado bar wananunua bia wanawekewa kwenye ndoo wanakunywa kama pombe za kienyeji.

Kama una biashara zako huu ndo msimu wenyewe usipopata hela mwaka huu utakuja kupata lini tena, kaa kijanja
Kuna a very dirty secret behind this, hio price sio halisi! Wanasiasa ni Watu hatari Sana Sana. Anyway ngoja niishie hapa.
 
Kuna a very dirty secret behind this, hio price sio halisi! Wanasiasa ni Watu hatari Sana Sana. Anyway ngoja niishie hapa.
Sio halisi kivipi wewe uko wapi? Mimi nipo kusini ndiko kwetu na ninalima korosho acha kujifariji
 
Back
Top Bottom