Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
1. Ramadhan Suleiman Ramadhan - Mbunge wa Chakechake
Chama: CCMAlishinda Kiti: Mwaka 2020, kwa kura 4136
Historia ya Elimu
- Madungu Primary School and Michakaini Secondary School: CPEE, 1992 - 1999
- Shamiani Secondary School:, 2000 - 2005
- Nyuki Secondary School:2007 - 2009
- The Zanzibar University: Bachelor of Law and Shariah 2010 - 2014
Historia ya Ajira
Mwanasheria wa Serikali 2014 - 2020Uzoefu wa Kisiasa
- Bunge la Tanzania: Mbunge 2020 - 2025
- Kamati ya Sheria Ndogo: Mwanachama, 2021 - 2023
2. Mohamed Abdulrahman Mwinyi - MBUNGE WA CHAMBANI
Chama: CCMAlishinda Kiti: Mwaka 2020, kwa kura 2987
Historia ya Elimu
- Chuo cha Cambridge International: Cheti, 2000 - 2001- Shule ya Sekondari ya Hamamni: CSEE, 1983
- Shule ya Sekondari ya Chambani: - , 1979 - 1982
- Shule ya Msingi ya Chambani: PCEE, 1973 - 1978
Historia ya Ajira
- Ofisi ya Waziri Mkuu - Pemba: Karani, 1988 - 1992
- Ofisi ya Waziri Mkuu - Pemba: Msaidizi wa Cashier, 1993 - 1998
- Ofisi ya Waziri Mkuu - Pemba: Cashier, 1998 - 2001
- Ofisi ya Rais - Pemba: Mhasibu Mkuu, 2001 - 2003
- Ofisi ya Rais Idara ya Utawala wa Mikoa - Pemba: Mhasibu Mkuu, 2003 - 2006
Uzoefu wa Kisiasa
- Bunge la Tanzania: Mbunge, 2020 - 2025
- Kamati ya Hesabu za Mamlaka za Mitaa: Mwanachama, 2021 - 2023
Chama cha Mapinduzi
Katibu wa Tawi, 1989 - 1992
Katibu - Uchumi na Fedha (Kata), 2012 - 2017
Mwanachama wa Baraza Kuu, Mkoa, 2003 - Hadi sas
Mwanachama wa Kamati ya Siasa, Mkoa, 2012 - Hadi sasa
Mwanachama wa Baraza Kuu la UVCCM, 2003 - 2008
Mwanachama wa Mkutano Mkuu wa Wazazi Taifa, 2012 - 2017
Mwanachama wa Mkutano Mkuu wa CCM, 2003 - 2008
Mwanachama wa Baraza Kuu la NEC, 2012 - Hadi sasa
3. Rashid Abdalla Rashid - MBUNGE WA KIWANI
Chama: CCMAlishinda Kiti: Mwaka 2020, kwa kura 3209
Historia ya elimu
- Kiwani Primary School: CPEE, 1981 - 1987Kangani Centre: CSEE, 1991
- The National Board for Material Management: The Material Management Foundation Certificate, 1997
- The National Board for Material Management: The Basic Storekeeping Materials Management, 1996
- Dar es Salaam College of Hotel and Business Studies: Diploma of Business Administration, 2008 - 2010
- Zanzibar Institute of Financial Administration (ZIFA): Advanced Diploma, 2002 - 2004
- Open University of Tanzania (OUT): Bachelor of Business Administration, (Accounting and Finance), 2012 - 2015
Historia ya Ajira
- Ofisi ya Rais ya Serikali ya Zanzibar, Idara ya Sheria, Utumishi wa Umma na Utawala Bora - Pemba: Cashier, 2000 - 2004
- Halmashauri ya Mji wa ChakeChake - Pemba: Cashier, 2004 - 2007
- Ministry of Communication and Transport - Pemba: Msaidizi wa Mhasibu, 2007 - 2011
- Tume ya UKIMWI ya Zanzibar: Mhasibu, 2011 - 2016
- Ofisi ya Rais, Idara ya Sheria, Utumishi wa Umma na Utawala Bora: Mhasibu, 2016
- Halmashauri ya Mji wa Mkoani: Mkurugenzi Mkaazi, 2016 - 2017
- Halmashauri ya Mji wa Mkoani: Mkurugenzi, 2017 - 2020
Uzoefu wa Kisiasa
- Bunge la Tanzania: Mbunge, 2020 - 2025
- Chama cha Mapinduzi: Mwanachama, Kamati ya Siasa - Tawi la Kiwani, 2002 - 2007
- Chama cha Mapinduzi: Mwanachama, Kamati ya Siasa - Jimbo la Kiwani, 2007 - 2020
4. Makame Mnyaa Mbarawa - MBUNGE WA MKOANI
Chama: CCMAlishinda Kiti: Mwaka 2020, kwa kura 8643
Historia ya Elimu
- Chokocho Primary School: CPEE, 1967 - 1972
- Chokocho Secondary School: SCEE, 1973 - 1975
- Karume T Collage: Full Technician Certificate (FTC), 1977 - 1981
- Astrakhan Technical Institute of Fisheries: Marine Engineering, 1986 - 1991 (Masters Degree)
- University of New South Wales, Sydney, Australia: Marine Engineering, 1994 - 1998 (PhD)
Historia ya ajira
- Ministry of Communication - Revolutionary Government of Zanzibar: Mfanyakazi wa Ufundi, 1982 - 1985
- Tshwane University of Technology: Profesa Msaidizi, 2005 - 2009
- Tshwane University of Technology: Profesa, 2009 - 2010
Uzoefu wa Kisiasa
- Bunge la Tanzania: Mbunge, 2010 - 2015
- Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia: Waziri, 2010 - 2015
- Bunge la Tanzania: Mbunge, 2015 - 2025
5. Juma Hamad Omar - MBUNGE WA OLE
Chama: CCMAlishinda Kiti: Mwaka 2020, kwa kura 1961
Historia ya elimu
- Ngambwa Primary School: CPEE, 1960 - 1968
- Fidel Castro Secondary School: CSEE, 1969 - 1972
- Lumumba Secondary School: ACSEE, 1973 - 1974
- University of Dar es Salaam: Bachelor of Science (ED) (Hons), 1975 - 1978 (Bachelor Degree)
- University of Reading, UK: Master of Science, 1980 - 1981 (Masters Degree)
Historia ya ajira
- Ministry of Education: Mkuu wa Chuo cha Fidel Castro, 1979 - 1985
- SELF: Huduma za Ushauri, 1996 - 2003
- Sos Hermann Gmeiner School, Zanzibar: Mhadhiri wa Fizikia, 2004 - 2015
- University College of Education, Zanzibar: Mhadhiri wa Fizikia, 2004 - 2015
- Mahad Istiqama School: Mhadhiri wa Fizikia, 2004 - 2015
Uzoefu wa kisiasa
- Bunge la Tanzania: Mbunge, 1985 - 1995
- Jumba la Wawakilishi: Mwakilishi, 1985 - 1990
- Wizara ya Utalii, Maliasili na Mazingira, Tanzania: Waziri, 1993 - 1995
- Chama cha Mapinduzi: Mjumbe, Kamati Kuu na Halmashauri Kuu, 1992 - 1997
- Parastatal Organizations Committee: Mjumbe, 1996 - 1998
6. Khamis Kassim Ali - MBUNGE WA WAWI
Chama: CCMAlishinda Kiti: Mwaka 2020, kwa kura 5041
Historia ya elimu
- Wawi Primary School: CPEE, 1986 - 1991
- Wawi Secondary School: CSEE, 1992 - 1998
- Dar es Salaam College of Education: Certificate of Human Resource Management, 2012 - 2013
Historia ya ajira
- Wizara ya Miundombinu, Mawasiliano na Usafirishaji Zanzibar: Mkaguzi Mkuu wa Magari - ChakeChake, 2011 - 2020Uzoefu wa Kisiasa
- Baraza la Wawakilishi: Mjumbe wa Baraza, 2005 - 2015
- Bunge la Tanzania: Mbunge, 2020 - 2025
7. Dedi Ahmed Juma Ngwali - MBUNGE WA ZIWANI
Chama: CCMAlishinda Kiti: Mwaka 2020, kwa kura 4199
Historia ya elimu
- Madungu Primary School:1978 - 1985
- Haile Selassie Secondary School: 1986 - 1990
Historia ya ajira
- MEGA Speed Liner: Meneja wa Tawi, 2000 - 2003
- Pemba Reasonable Tours: Meneja wa Uendeshaji, 2004 - 2005
- Prismo Universal Ttaliana: Meneja wa Mradi, 2005 - 2007
- SLAM Construction LTD: Meneja, 2007 - 2009
- Private Co.LDS: Meneja, 2010 - 2011
Uzoefu wa Kisiasa
- Civic United Front: Mwanachama wa Tawi, 1999
- Civic United Front: Mwanachama wa Jimbo, Wilaya, Mkoa, 2010 - 2015
- Civic United Front: Mwanachama wa Mkutano Mkuu wa Jimbo, 2005 - 2010
- Parliament of Tanzania: Mbunge, 2010 - 2025