Pre GE2025 Kusini Unguja: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi wa Mkuu 2025

Pre GE2025 Kusini Unguja: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi wa Mkuu 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Unguja Kusini.jpg

Mkoa wa Kusini Unguja ni mmoja kati ta mikoa 31 ya Tanzania ambao unapatikana Kusini mwa kisiwa cha Unguja huko Visiwani Zanzibar.

Kulingana na Sensa ya mwaka 2022, mkoa huu amba una jumla ya wakazi 195,873 kati ya hao wanaume ni 98,367 na wanawake ni 130,506 huku kaya zikiwa takriban 47,010

Mkoa wa Kusini Unguja una jumla ya Majimbo 6, Baraza (Wilaya) 5 pamoja Wadi (Kata) 12.

Majimbo ya Kusini Unguja ni pamoja na;

1. Uzini
2. Chwaka
3. Tunguu
4. Bambi
5. Paje
6. Makunduchi

Hali ya Kisiasa

Katika majimbo yaliyoangaliwa kwenye mkoa huu, CCM kilidhibiti ushindi kwa asilimia kubwa, hasa katika majimbo kama Chwaka, Makunduchi, Paje, Tungu, na Uzini, ambapo walipata zaidi ya asilimia 90% ya kura.

ACT-Wazalendo ilifanya vizuri katika majimbo machache kama Chwaka na Makunduchi, ingawa kwa asilimia ya chini, mara nyingi kati ya 10% hadi 15%.

Pia soma: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Vyama vingine kama CHADEMA, CUF, na ADC vilikuwa na ushawishi mdogo katika mkoa huu, vikipata asilimia ndogo sana ya kura zilizopigwa.

2024
2025

Januari

Februari
  1. Wanu H. Ameir atoa zawadi kwa Wanafunzi waliopata Division One
  2. Rais Mwinyi: UVCCM endeleeni kuhamasisha vijana CCM ishinde na kushika dola
  3. Mohamed Kawaida: Ajenda ya mitano tena ni kwa Rais Samia na Rais Mwinyi tu. Vijana twende tukagombee
  4. PICHA: Machawa wa ankali (Dkt. Mwinyi) na Generation Samia (GEN S) washirikiana kuandaa Pilau Day Zanzibar
  5. Dkt. Tulia awataka vijana kujitokeza kugombea kwakua CCM imejipanga kushika dola
  6. Zanzibar: Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja awaomba wananchi wakajiandikishe kwenye daftari la kudumu la mpiga kura
Machi
  1. Chawa wa Rais Samia wapokelewa na kupongezwa Zanzibar, waahidiwa kupewa Ushirikiano na Serikali
 
Back
Top Bottom