Kusinzia kwenye basi au daladala na kuegemea wengine

Kusinzia kwenye basi au daladala na kuegemea wengine

Ricky Blair

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2023
Posts
463
Reaction score
1,009
Ivi ni kwanini watu wengi wakisinzia kw basi au daladala wawe wanawake au wanaume wana tabia ya kushindwa kujicontrol kichwa kisimuegemee mwingine? Me nikilala au kusinzia nabaki hapo hapo kw kiti changu; hawa wengine vipi?😳😳😳
 
Back
Top Bottom